Zingo Sports

Zingo Sports A Digital Media Platform, Convey Trusted Sports News, Player's Journey and Life style & we Discover raw Talent.

| Ameweka rekodi EPL ya kuingia kwenye orodha ya magwiji k**a Thiery Henry na KDB kwa assist akiwa na Manchester Utd, Br...
07/06/2026

| Ameweka rekodi EPL ya kuingia kwenye orodha ya magwiji k**a Thiery Henry na KDB kwa assist akiwa na Manchester Utd, Bruno Fernandes anaonekana k**a mchezaji muhimu zaidi kwa Ureno kwenye michuano ya Kombe la Dunia 2026.

Wakati Ronaldo akicheza michuano yake ya mwisho, Bruno anaweza kufanya tena maajabu kwaajili ya mbuzi wao?

Bruno aliweka kamba moja na kuipa ushindi Ureno dhidi ya Chile jana kwenye mchezo wa kirafiki, huku G. Guedes akitisha baada ya kuchukua nafasi ya Ronaldo.

Writer |

๐Ÿ†๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ณโฃ๏ธ

07/06/2026

| Hassan Mwakinyo

"Siamini k**a kuna pambano linaweza kuwa gumu kuliko mapito ya maisha yangu, na hiyo ndiyo itakayonifanya nimpige kila mtoto wa mtu aliyenyonya kwa mama yake".

Ni baadhi ya nukuu ambazo alizitoa Champez wakati anajiandaa kucheza fight yake na Eribo, December 26,2025.

Champez atapanda ulingoni jumatano hii ya june 10, kuwania ubingwa wa Dunia wa IBO รนzito wa Middleweight dhidi ya bondia mwenye rekodi kubwa, raia wa Ufaransa-Ivory Coast, Michel Soro.

Ni bondia mgumu sana, lakini Champez alishasema hakuna pambano litakaloweza kuwa gumu kwake, kutokana na magumu aliyopitia.

Writer |

๐’๐จ๐ซ๐จ ๐ฏ๐ฌ ๐‚๐ก๐š๐ฆ๐ฉ๐ž๐ณ, nani anatoboa?

Video credit to |
Promoter

Cc |
|

| Staa wa Argentina, Lionel Messi amepona jeraha lake na yupo tayari kuungana na wachezaji wenzake kwenye mchezo wa kwan...
06/06/2026

| Staa wa Argentina, Lionel Messi amepona jeraha lake na yupo tayari kuungana na wachezaji wenzake kwenye mchezo wa kwanza wa Kombe la Dunia dhidi ya Algeria kwenye kundi J.

Je, Argentina wanaweza kutetea taji lao ambalo walibeba 2026 Nchini Qatar na kufikia rekodi ya brazil kwa kutwaa taji ๐๐š๐œ๐ค-๐ญ๐จ-๐›๐š๐œ๐ค mwaka 1958 na 1962?

Fainali za Nchini Chile mwaka 1962, licha ya Brasil kumpoteza staa wao, Pele kwa majeraha, nafasi yake ilichukuliwa na Amalirdo ambaye aliungana a Garrincha aliyeibuka MVP wa michuano hiyo na kuipa heshima kubwa brasil.

Argentina wataweza?

Writer

Cc | |

22/05/2026

Tizi la mzee wa Knockout, Mchanja Yohana "Kompyuta".

๐Ÿ”ฅ

MIKEL ARTETA ANAVYOISHI KWENYE NDOTO ZA DAVID DEIN -03.Kufanya modernization ya klabu, kuifanya Arsenal kuwa Taasisi ya ...
22/05/2026

MIKEL ARTETA ANAVYOISHI KWENYE NDOTO ZA DAVID DEIN -03.

Kufanya modernization ya klabu, kuifanya Arsenal kuwa Taasisi ya kisasa kwenye soka Duniani, kuingia kwenye ushindani wa kweli. Zilikua ndoto za David Dein, Chairman wa Gunners na usiku wa ndoto zake.

Wakati ambao Arsene Wenger anauza mastaa k**a Samir Nasri, Robin Van persie ili klabu ipate fedha za kujiendesha kiuchumi, lilikua jambo linalomuumiza sana David.

ROMAN ABRAMOVIC NA SHEKHE MANSOOR, walishaingia EPL, David ilibidi awaite viongozi wenzake na kuwaeleza idea yake, ili timu irejeshe heshima yake, tunapaswa kualika wawekezaji kutoka nje, muda huo tayari alishamualika Stan Kroenke ( mmiliki wa sasa wa Arsenal ).

Wazo la David lilileta mgogoro ndani ya klabu, wale Old Arsenal Familie hawakutaka wawekezaji kutoka nje, waliamini kwenye uwekezaji wa Taasisi ya wanachama, sio mmiliki mmoja.

David aliamua kujiuzulu baada ya kuwa na migogoro ya viongozi, huku klabu bado inapitia changamoto, wakati huo Stan alikua kashaanza kununua hisa mwaka 2007, David aliuza hisa zake kwa Alisha Usmanov na Fahad Moshir.

Tayari project ya ASHBURTON GROVE ilishakamilika Arsenal wanamiliki dimba la Emirates, moja ya klabu inayocheza mpira wa kuvutia, shida ilisalia kwenye uwekezaji ili timu iwe na nguvu kiuchumi. David anaondoka k**a shujaa Emirates.

Ujio wa STAN KROENKE na project ya JOSH NA ARTETA.

Wakati David anaondoka, bado kuna mzozo kuhusu wawekezaji kukubaliana na wawekezaji wapya hii ilifanya OLD FAMILIES kuuza hisa zao kuanzia kwa Lady, Fiszman na David mwenyewe, kwenda kwa Stan Kroenke na Alisher Usmanov kupitia RED AND WHITE HOLDING COMPANY akiwa na Moshir.

Stan aliongeza sehemu ya hisa zake akawa ndiyo mwenye mamlaka kuliko Alisher, walipingana baadhi ya maamuzi jambo ambalo liliendeleza migogoro na kuamua kuuza hisa zake.

KSE wanaanza Installation mpya na kuanza project ya Mikel Arteta baada ya kumuondosha Unai Emery.....

Inaendelea..

Mwandishi |

21/05/2026

| Unai Emery anakua kocha pekee Duniani kushinda mataji matano ya Uefa Europa League akiwa na timu tatu tofauti, baada ya jana kushinda akiwa na Aston Villa kwa kuichapa Freiburg ya Ujerumani.

Seville - x3
Vilarreall - x1
Aston Villa - x1

Kocha gani anaweza kuondoa ufalme wake?

Video Under | |
https://www.instagram.com/reel/DYmokVlsW-W/?igsh=NGVlZWlqODFjdzFy

21/05/2026

| "Brother atakua bingwa msimu huu, ukiangalia wapinzani atakaocheza nao na gape la alama".

Shabiki wa Simba SC aliyejitambulisha kwa jina la Daniel akizungumzia race ya ubingwa wa 2025/26.

Unaamini atakua Mnyama?

Cc |

21/05/2026

| ๐๐จ๐ง๐ ๐จ ๐ก๐š๐ค๐ฎ๐ง๐š ๐š๐ฌ๐ข๐ž๐ฃ๐ฎ๐š ๐ฎ๐ฐ๐ž๐ณ๐จ ๐ฐ๐š ๐‚๐ก๐š๐ฆ๐š, ๐ก๐ฎ๐ฒ๐ฎ ๐‚๐ก๐š๐ฆ๐š ๐ค๐š๐ณ๐š๐ฅ๐ข๐ฐ๐š ๐ฎ๐ฉ๐ฒ๐š ๐ค๐š๐ค๐š".

Baadhi ya maneno ya Daniel ambaye ni shabiki wa kutoka Kinyerezi, Mbuyuni, Dar Es Salaam akitoa maoni yake kuhusu mwenendo wa klabu yake.

"Hata alivyoenda kwa watani, sisi tuliumia, zile kelele za kuwa yeye ni babu tulikua tunawazuga (Yanga SC ), huyu Chama ni Chuma".

Unadhani Chama anafaa kucheza misimu mingapi pale Lunyasi?

Mtangazaji |

Cc | .sports_

MIKEL ARTETA ANAVYOYAISHI KWENYE NDOTO ZA DAVID DEIN -02.Jioni moja akiwa kwenye msongo wa mawazo kuhusu Arsenal inaonge...
21/05/2026

MIKEL ARTETA ANAVYOYAISHI KWENYE NDOTO ZA DAVID DEIN -02.

Jioni moja akiwa kwenye msongo wa mawazo kuhusu Arsenal inaongezaje uchumi wake, David Dein aliwaza kuhusu anavyoweza kuwatumia mashabiki kuongeza kipato, lakini atafanya kwa mtindo gani, ndiyo swali kubwa kwake.

Alimuita mwanahisa mwenzake Peter Hill-Wood akamueleza dhamira ya kuhama uwanja wa Highbury kwakua hakuna option ya kufanya upanuzi kutokana na mazingira ya North London na kisheria, wakati Peter anapokea wazo kwa Mastermind na Chairman wa wakati huo, David akaendelea.

Arsenal inatakiwa kubadilika kutoka Traditional football Club mpaka Morden Global Financial, kubadilisha utamaduni wa soka kuanzia, Sayansi ya mpira, Nutrition kwa wachezaji, Identification ya playing style, David alihisi tunapaswa kuwa MODERNISATION CLUB kwenye soka.

Wazo la Arsene Wenger likaingia...

Wakati huo alikua anaondoka kocha hodari, Mr. Chapman, David alimwambia Hill-Wood, kuna mfaransa mmoja yupo ligi ya Japan yule ni FUTURE OF FOOTBALL, anatufaa kwenye mabadiliko yetu, Hill-Wood akamuuliza, tunamletaje UNKNOWN FRENCHMAN, tena kutoka ligi ya Japan, upo serious kweli?

David hakumpinga mwanahisa mwenzake, akaletwa kocha ambaye hakufanikiwa, walivyomfukuza, akamwambia wazo langu ni lilelile kuhusu Arsene Wenger, 1996, anaingia Wenger na kulindwa kwenye Media.

Migogoro ilivyoanza kuleta migawanyiko na Arsenal kuanza kushuka ( Why Arsenal decline ).

Baada ya ujio wa Arsene waliingia mastaa wakubwa k**a THIERY HENRY, DENIS BERGKAMP, IAN WRITE, akabeba mataji ikiwemo The Invisible, kumbuka kipindi hicho bado klabu inamilikiwa na Old Arsenal families, hakuna kibosile.

Arsenal walianza mchakato wa kuhama dimba la Highbury mpaka ASHBURTON GROVE ( Emirates Stadium ), haikuwa project nyepesi, zaidi ya euro milioni 600 ziliwekezwa kupitia mikopo ya Banks, Bonds, Future Stadium Revenues, hatimae uwanja ulikamilika mwaka 2006.

Kutokana na madeni mengi kuielemea Arsenal, kocha aliyepigania dimba hilo ili kuongeza uchumi wa klabu, Bw. Wenger, alianza kutumia uchumi wake kwa kuuza mastaa k**a Samir Nasri, Robin Van Persie, Cecs Fabregas.

Tunatakiwa kuleta wawekezaji wapya ili kuingia kwenye ushindani, ilikua kauli....

20/05/2026

Atanyoa kweli huyu? ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Simba SC chukueni kombe kwakweli, bila hivyo sifa ya kujiita W***y Esomba Onana inaenda kupotea kirahisi sana, hizi rasta kwake ni brand mjue anaishi.

Cc |

Address

Tanga

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Zingo Sports posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Zingo Sports:

Share