Admin wa sports

Admin wa sports Unahusiana na soka na mambo mbali mbali hivyo kanuni zizingatiwe. Karibuni kiposti na kusapotiana katika maswala mema. Tusaidiane kutokomeza utumiajibaya w

 Karibu mdau wetu. Hizi ni kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya hapa Tanzania.
02/08/2025


Karibu mdau wetu. Hizi ni kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya hapa Tanzania.

Kurasa za Michezo Kwenye Magazeti ya leo July 23 Mwaka 2025.
23/07/2025

Kurasa za Michezo Kwenye Magazeti ya leo July 23 Mwaka 2025.

24/06/2025
๐Ÿ—ฃ"Tukigundua unaleta hujuma ili Simba asichukue ubingwa tutakufanya kitu kibaya, Kwasasa tumevaa ushetani wa kiwango cha...
22/05/2025

๐Ÿ—ฃ"Tukigundua unaleta hujuma ili Simba asichukue ubingwa tutakufanya kitu kibaya, Kwasasa tumevaa ushetani wa kiwango cha mwisho, tukikugundua tutakufanya kitu kibaya sana na sio wewe tu na familia yako, hii hata ukiwa Simba na una mpango huo tutakufanya kitu kibaya."- Ahmed Ally

โšฝ๐Ÿ† RAIS DKT. HUSSEIN MWINYI ABEBA GHARAMA ZOTE ZA UWANJA WA NEW AMAANI COMPLEX KUELEKEA MCHEZO WA FAINALI YA KOMBE LA SH...
22/05/2025

โšฝ๐Ÿ† RAIS DKT. HUSSEIN MWINYI ABEBA GHARAMA ZOTE ZA UWANJA WA NEW AMAANI COMPLEX KUELEKEA MCHEZO WA FAINALI YA KOMBE LA SHIRIKISHO BARANI AFRIKA CAF CC

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameonyesha upendo wa kipekee kwa timu ya Simba SC kwa kutoa zawadi maalum ya kuwaruhusu kutumia bure Uwanja wa kisasa wa New Amaan Complex kwa ajili ya fainali ya pili ya Kombe la Shirikisho la CAF dhidi ya RS Berkane ya Morocco.

Mechi hiyo ya kihistoria itapigwa Jumapili, tarehe 25 Mei 2025, kuanzia saa 10 jioni. Kwa kutambua uzito wake kitaifa, Rais Mwinyi pia atagharamia maandalizi yote muhimu ya uwanja huo ili kuhakikisha kila kitu kiko tayari kwa tukio hilo kubwa la michezo barani Afrika.

Hatua hii ya Rais Mwinyi ni ishara ya mapenzi yake kwa michezo na dhamira ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuunga mkono maendeleo ya michezo na kuiweka Zanzibar kwenye ramani ya kimataifa.

Aidha, Rais Mwinyi ameahidi kuwa miongoni mwa mashabiki watakaohudhuria fainali hiyo, kuungana na Watanzania wote kuishangilia Simba SC katika kuwania ushindi wa kihistoria.

Tunawatakia Simba kila la heri โ€“ ushindi ni lazima!

Maoni yako kuhusu hatua hii ya Rais Mwinyi? Tuambie hapa chini.

Kombe jipya la CAF Champions league limetambulishwa rasmiโœ…Hili tutabeba msimu ujao In Sha Allahโœ๏ธ
22/05/2025

Kombe jipya la CAF Champions league limetambulishwa rasmiโœ…

Hili tutabeba msimu ujao In Sha Allahโœ๏ธ

Simba Sc wamepata ushindi wa mabao 5-1dhidi ya pamba jiji
08/05/2025

Simba Sc wamepata ushindi wa mabao 5-1dhidi ya pamba jiji

Mama wa staa wa Bongo Fleva, Zuchu ambaye pia ni staa wa kitambo wa muziki wa Taarab, Khadija Kopa amefunguka kuhusu mwa...
08/05/2025

Mama wa staa wa Bongo Fleva, Zuchu ambaye pia ni staa wa kitambo wa muziki wa Taarab, Khadija Kopa amefunguka kuhusu mwanaye kutofunga ndoa na Diamond mpaka leo.

Aidha ameongezea kwakusema kuwa wanaume wengi wameshamletea posa Zuchu ,lakini kwa upande wa Zuchu anasema kuingia katika maisha ya ndoa kwa muda huu bado.

''wapo wengi lakini mwenyewe bado hajawataka kuleta posa kila wakatiwapo wengi wansema tunataka kuposa lakini siwezi kumwambia mtu njo wakati mwenyewe ukimshauri anakwambia mimi bado .Alisema Khadija Kopa

Klabu ya Simba sc itawakabili RS Berkane katika mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Wataanzia ugenini nchin...
27/04/2025

Klabu ya Simba sc itawakabili RS Berkane katika mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Wataanzia ugenini nchini Morocco na kumalizia nyumbani Tanzania.

Pongezi za dhati kwa Klabu ya Simba kwa ushindi katika mchezo wa Mashindano ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF C...
27/04/2025

Pongezi za dhati kwa Klabu ya Simba kwa ushindi katika mchezo wa Mashindano ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF Confederation Cup), na kuandika historia ya kufika fainali ya mashindano haya. Mmeipa nchi yetu heshima kubwa.

Simba SC imeingia mkataba wa miaka mitano (5) wenye thamani ya Tsh 38B na kampuni ya Jay Rutty Investment huku kila mwak...
16/04/2025

Simba SC imeingia mkataba wa miaka mitano (5) wenye thamani ya Tsh 38B na kampuni ya Jay Rutty Investment huku kila mwaka wakiingiza 5.6B. Kampuni hiyo itajihusisha zaidi na utengenezaji wa jezi, vifaa na vitu vingine vya klabu hiyo k**a ilivyokuwa kwa Vunja Bei na Sandaland.

Huyu ndiye mzamini mpya wa klabu ya simba kwenye upande wa jezi ambaye ni mkurugenzi wa kampuni ya JAYRUTTY

Mzabuni Mpya wa Jezi za Simba SC Joseph Samson Kupitia Kampuni ya Jayrutty Investment Amehidi Kununua Basi JIPYA Aina ya Irrizar na Ameahidi Kwamba Tutaliona Muda si mrefu.

SIMBA NGUVU MOJA

๐Ÿ—ฃ๏ธTANGAZO

๐Ÿ•๏ธ Mashamba yanauzwa Kwamsanja Chalinze Pwani

Heka 1 laki mbili na nusu tu

๐Ÿž๏ธ๐Ÿ‘จโ€๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿ‘ฆโ€๐Ÿ‘ฆ๐Ÿ‡ Yanafaa kwa kilimo makazi na ufugaji

Yameshapimwa na yanahati kutoka serikalini ๐Ÿ”จ

Huduma za kijamii zinapatikana

Mawasiliano ๐Ÿ“ž๐Ÿ“จ
0627644031
0747197085
0699782267

Kwa Whatsap number ๐Ÿ“ฒ
0747197085
Mnakaribishwa ๐Ÿ™

Address

Kwamsanja
Oyster Bay

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Admin wa sports posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share