13/08/2026
*WANA SIMBA TUUNGANE!*
Pamoja na matokeo mabaya ya jana, _tusikate tamaa_.
Tupo mwanzo wa msimu mpya na ukiangalia ratiba... _imebana kweli kweli!_ π€
_RATIBA YETU:_
- _Mechi 3 AWAY/Ugenini_
- _Mechi 2 NYUMBANI_
- _Kisha DERBY MBILI MFULIZO_ π₯
_Azam FC_
_Yanga SC_
Hii ni kipimo cha mashabiki bora. Hii ndio ratiba ya mabingwa.
_TUJIPANGE:_
1. Tujaze viwanja kwenye mechi za nyumbani
2. Tuwasapoti wachezaji hata ugenini
3. Tusambaze upendo na umoja tu
```Baada ya kurejea dar es salaam leo wachezaji wamepewa mapumziko na kesho ijumaa kikosi kitarejea Mo arena kuanza maandalizi ya mechi yao dhidi ya kagera sugar na jumamosi kikosi kitaanza safari ya kuelekea kagera na jumapili kinapigwa
Ratiba ya mechi 03 za kwanza za Simba nbc premier league
ugenini VS kagera sugar tarehe 16 jumapili saa 12 :00 jioni
Ugenini VS pamba jiji tarehe 19 jumatano saa 10 :15 alasiri
Ugenini VS singida b/s tarehe 22 jumamosi saa 12:00 jioni
Baada ya mechi hizo SIMBA itasafiri kuelekea nchini Malawi kucheza mchezo wake wa kwanza wa hatua ya awali klabu bingwa africa dhidi ya mighty wanders September 05
Tusahau kuhusu matokeo ya jana haraka sana na turudi tuendelee kuisapoti timu yetu ili tuweze kufanya vizuri kwenye hizo mechi 04 muhimu za ugenini
```
_Sisi ni SIMBA! Tushindwe au tushinde, sisi ni SIMBA mpaka mwisho!_
*Fuata taarifa zote za Simba Mkoa wa Geita hapa π*
https://whatsapp.com/channel/0029VbCxIWFJZg4AtQJ48018
---