04/10/2024
Uongozi wa Wasafi Media Unasikitika Kutangaza Kifo Cha aliyekua Mtangazaji wa Kipindi Cha Mashamsham cha Wasafi FM Khadija Shaibu ( Maarufu k**a Dida) .
Dida atakumbukwa kwa Uhodari wake na Ubora wake Kwenye Tasnia ya Habari, Uliompelekea Kuwa Mtangazaji Namba Moja wa K**e Nchini na Kuwa Kioo kwa Wanawake na Watangazaji Wengi waliokua wanamtazama k**a Mfano .
Tunaungana na Ndugu , Jamaa na Marafiki Wote Kusheherekea Maisha Ya DIDA , Na Kuenzi Yale Mengi Mazuri aliyoyafanya Kwenye Jamii na Tasnia ya Uandishi wa Habari .
Tunamuombea Mungu ailaze Roho yake Mahala Pema Peponi , Amen .