08/07/2021
Siku ya jana Maua Mazuri tulipata bahati ya kuwa washiriki katika kongamano la mafunzo ya ujasiriamali na fursa za mikopo kwa vijana. Vile vile vijana walipata elimu ni jinsi gani wataweza kunifaika na hii .
Kongamano hili lilofanyika Mkoani Kilimanjaro katika kata ya Uru Kusini. Vijana walipata fursa ya kujifunza na kuuliza maswali mengi kuhusu Miche yetu na umuhimu wa kufanya kilimo bora cha kisasa ili kujikwamua katika maskini.
*
*
*