Mbio za Vitambi

Mbio za Vitambi 》Tunaamini tukiwajenga wao kiroho tutakuwa tumeikomboa Jamii nzima Mtaani, Maana wao ndo vijana wa kuijenga hiyo jamii Leo.

21/04/2024

Nashukuru sana 🙏🙏🙏 Ni kweli kwamba ndo Tamasha namba Moja Tanzania Upande wa Mashindano ya Kula, Hakuna Tamasha Lingine lililowahi kutokea Tanzania kabla ya TONGE NYAMA TANZANIA kiupekee na uzito.. 🙏🙏🙏

WANAUME Msileft Group tunamazungumzo na nyinyi...
05/04/2024

WANAUME Msileft Group tunamazungumzo na nyinyi...

07/03/2024
Kuhusu.. Lini na wapi ata mimi sijui 🤫 Ninachojua ni kwambaa.., Mitaa inatuamini, hatujawahi kuwaangusha katika lolote, ...
19/12/2023

Kuhusu.. Lini na wapi ata mimi sijui 🤫 Ninachojua ni kwambaa.., Mitaa inatuamini, hatujawahi kuwaangusha katika lolote, Tumechagua kuwa Upande wa Mama, sisi na majirani zetu na mitaa yetu ipo pamoja na sisi.. Subiri kidogo jirani.. Tunakujaaa🤔

01/10/2023

..
Tunaigusa mitaa kwa namna hii tuliyoichagua 🙏🙏🙏

16/09/2023

✍🏿TUNAILETA YOOOTEEE DAR ES SALAAM.
kipimo ni kilekile ila mbwembwe nyingiiii....🤔 Mama yupo jikoni... Tukutane paleee ndo eneo la tukio Jeti lumo, Tareh 25/09/2023.. Wape majirani zako wotee taarifa ...
More Info: 0628 515 113

Mtu Kazi.. wewe ni Shujaaa 💪💪💪 Hakuna Kurudi Nyuma..
30/07/2023

Mtu Kazi.. wewe ni Shujaaa 💪💪💪
Hakuna Kurudi Nyuma..

Address

Morogoro

Telephone

+255628515113

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mbio za Vitambi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category