Elisha Chacha Masubo

Elisha Chacha Masubo Football analysis and article
sometimes story

25/08/2026

Iliwahi kutokea Shafii Dauda anatuhumiwa kwa kosa fulani, kwenye utetezi wake akasema chapisho linalohusishwa naye japokuwa limechapishwa kwenye ukurasa wake rasmi lakini Digala hakuwa mwandishi wa chapisho lile

Digala akasisitiza kwamba kuna vijana amewaajili kuendesha mitandao yake ya kijamii hivyo yeye hakupandisha chapisho lile lakini mwisho wa siku alihukumiwa kujihusisha na soka kutokana na chapisho ambalo hajalichapisha yeye

Hebu fikiria k**a kuna mtu anaendesha account ya namba 2, halafu kwenye system kuna watu hawamtaki namba mbili, vipi wakiamua kuwa yule anayeendesha account zake aandike script wanayoitaka wao ila ionekane kuwa aliyeandika ni namba mbili,

Unadhani namba mbili atakanusha kuwa sio yeye..?? Waza nje ya box

30/07/2026

Mawasiliano
0798-083-806 /0681758786

30/07/2026

Tunauza magodoro imara kwa bei ya kiwandani
Tunayo magodoro ya spring kwa ajili ya watu wenye changamoto ya mgongo na yapo magodoro ya kawaida
Tunatoa ofa ya mito miwili, Chandarua, shuka mbili na foronya zake pamoja na usafiri bure kwa wateja wa Dar es Salaam

Tupigie kwa 0798-083-806 / 0681758786

23/07/2026

Free Delivery kwa wateja wa Dar es Salaam
Ofa zetu ni
Mito miwili pamoja na Chandarua
Tuna magodoro ya spring pamoja na Fibre

Kigoma kuna nini...?? Juzi tu hapa viongozi wote wakubwa wa Chadema walikuwa Kigoma kwa zaidi ya siku 3 kufanya kikao ch...
20/07/2026

Kigoma kuna nini...?? Juzi tu hapa viongozi wote wakubwa wa Chadema walikuwa Kigoma kwa zaidi ya siku 3 kufanya kikao cha Kamati kuu ya Chama

Leo Serikali yote, wasanii wote wapo Kigoma, wakuu wa vyombo vyote vya ulinzi wapo Kigoma, Kiufupi leo moyo wa Tanzania umehamia Kigoma, najiuliza kulikoni

11/07/2026

Tunauza magodoro imara kwa bei ya kiwandani

Kuna ukubwa tofauti tofauti kuanzia 4 kwa 6, 5 kwa 6 na 6 kwa 6, kuanzia Inches 6, Inches 8, Inches 10, na inches 12

Tunatoa ofa ya mito miwili pamoja na Chandarua bure,
NB: WATEJA WA DAR ES SALAAM USAFIRI NI BURE

Nina uhakika baada ya World Cup kuisha, Kuna timu inaenda kutapeliwa hapa, kabla ya world Cup thamani halisi ilikuwa hai...
10/07/2026

Nina uhakika baada ya World Cup kuisha, Kuna timu inaenda kutapeliwa hapa, kabla ya world Cup thamani halisi ilikuwa haivuki £45 lakini subili mtu ajichanganye na £100+, watu wakachekee chooni

09/07/2026

Tunauza magodoro imara kwa bei ya kiwandani kuanzia
Inches 8, 180,000
Inches 10, 220,000
Inches 12, 255,000
Ukubwa tano kwa sita

Pia kuna magodoro kwa ajili ya watu wenye changamoto ya kiuno au Mgongo (spring ) kutoka kampuni ya Breeze Arusha na Goldsun

Wasiliana nasi kwa simu namba 0798-083-806 au tuma ujumbe Whatsaap kwa maelezo zaidi

Tunapatikana Ukonga Banana,

Kumbuka kuna ofa ya mito miwili, Chandarua pamoja na usafiri bure kwa wateja watano wa kwanza kununua godoro

By Approximately, wewe unaweza kusoma message ngapi kwa siku moja 🤔🤔🤔🤔
02/07/2026

By Approximately, wewe unaweza kusoma message ngapi kwa siku moja 🤔🤔🤔🤔

30/06/2026

Tunauza magodoro imara kwa bei ya kiwandani
Tuna brand tofauti tofauti k**a vile, Goldsun, Vitafoam, Breeze Arusha na Dodoma Comfort

Tunapatikana Ukonga Banana

Mawasiliano 0798-083-806

Address

Kitunda/Ilala
Mkalama

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Elisha Chacha Masubo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Elisha Chacha Masubo:

Shortcuts

Share