18/09/2023
Mdau wa Mzee mbuzi anasema uungwana ni namna Mtu anavyoweza kujali Hisia za wengine. Kuelewa mwenzako anataka nini, anajisikiaje unaposema maneno fulani, au anachukuliaje unapomfanyia jambo fulani
Jamii huamini tabia za Watoto ni Taswira ya walivyo Wazazi wao kwa tafsiri kwamba anachojifunza Mwanao inakutegemea namna Mzazi/Mlezi unavyoenenda mbele yao kwa Maneno, Matendo na hata kwa Tabia