Dube son

Dube son sportsupdates, comedian, and philosophy

Pamoja na maingizo mengi waliyoyafanya TRA United katika kipindi cha dirisha dogo la usajili, lakini wameongeza vyuma vi...
06/02/2026

Pamoja na maingizo mengi waliyoyafanya TRA United katika kipindi cha dirisha dogo la usajili, lakini wameongeza vyuma vitano vya maana sana.

✅️CHAMOU KARABOUE kutoka Simba
✅️MZAMIRU YASSIN kutoka Simba
✅️DENIS NKANE kutoka Yanga
✅️MUHSIN MALIMA kutoka Azam FC
✅️VALENTIN NOUMA zamani Simba

Unawapa asilimia ngapi TRA United kwa usajili huu??🤷‍♂️
..................

📌PESA IPO HUKU.

MCHEZO WA BAHATISA sasa unakupa pesa mpaka Milion 1 kwa Tsh Mia mbili (200) tu kushinda ni rahisi sana

Kwa mtandao ya AIRTEL, YAS na VODACOM.

Nenda kwenye menu ya malipo kalipe Bill namba ya kampuni 113113, Kisha namba kumbukumbu 333 kiasi ni 200/500/1000

Weka namba ya siri kisha subiri bahati yako..!!

Nini kifanyike wakuu?
06/02/2026

Nini kifanyike wakuu?

Kipa wa timu ya taifa ya Ghana na klabu ya Heart of Lions inayoshiriki Ligi Kuu ya Ghana, Lawrence Osei, ameripotiwa kui...
06/02/2026

Kipa wa timu ya taifa ya Ghana na klabu ya Heart of Lions inayoshiriki Ligi Kuu ya Ghana, Lawrence Osei, ameripotiwa kuiacha klabu yake bila taarifa na kuhamia nchini Marekani.
Osei, ambaye alikuwa anatumikia adhabu ya kusimamishwa kucheza kutokana na mkusanyiko wa kadi za njano, ameamua kuhamia Marekani ambako anatarajiwa kufanya kazi ya usafi.

Inadaiwa kuwa atakuwa akilipwa takribani dola 3,000 kwa mwezi, kiwango kikubwa zaidi ukilinganisha na mshahara wake wa awali wa karibu dola 246 kwa mwezi alipokuwa akicheza Ghana.

🤔....

02/02/2026

maisha ya wanachuo hasa kwa changamoto wanazopitia wanachuo wanaosoma ialimu Dube son Jimson Ntani

02/02/2026

save matata sana kutoka kwa gorikipa Dube son Jimson Ntani

Simba Sc akishinda leo atakuwa na point 3 halafu mechi itakayofata atakutana na Petro Atletico away hii ndo itakuwa mech...
01/02/2026

Simba Sc akishinda leo atakuwa na point 3 halafu mechi itakayofata atakutana na Petro Atletico away hii ndo itakuwa mechi ya maamuzi ya yeye kusonga mbele au kuishia hatua ya makundi.

Swali ninalojiuliza hii Simba itaweza kushinda mechi ya leo dhidi ya Esperance de Tunis na ijayo dhidi ya Petro Atletico?

Follow us

Wanajangwani Mwamba huyu hapa!! Kumbe ulikuwa mtego 😢🙆
31/01/2026

Wanajangwani Mwamba huyu hapa!! Kumbe ulikuwa mtego 😢🙆

MATOKEO YA MECHI ZA JANA IJUMAA🇹🇿 TANZANIA: NBC Premier League Mbeya City 1-1 Pamba Jiji JKT Tanzania 0-1 Dodoma Jiji 🌍C...
31/01/2026

MATOKEO YA MECHI ZA JANA IJUMAA

🇹🇿 TANZANIA: NBC Premier League
Mbeya City 1-1 Pamba Jiji
JKT Tanzania 0-1 Dodoma Jiji

🌍CAF CHAMPIONS LEAGUE
Al-Hilal Omdurman 2-1 Mamelodi Sundowns

🇪🇸SPAIN - LA LIGA
Espanyol 1-2 Deportivo Alaves

🇩🇪GERMANY - BUNDESLIGA
Koln 1-0 Wolfsburg

🇮🇹ITALY - SERIE A
Lazio 3-2 Genoa

🇫🇷FRANCE - LIGUE 1
Lens 1-0 Le Havre

🇳🇱NETHERLANDS - EREDIVISIE
NAC Breda 2-2 Twente

🇵🇹PORTUGAL - PRIMEIRA LIGA
Vitoria Guimaraes 1-0 Moreirense

🇧🇪BELGIUM - PRO LEAGUE
La Louviere 1-1 Gent

🇹🇷TURKEY - SUPER LIG

Antalyaspor 1-1 Trabzonspor
Kasimpasa 0-1 Samsunspor

🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿ENGLAND - CHAMPIONSHIP
Bristol City 0-5 Derby County

🇭🇷CROATIA - HNL
Istra 1-1 Lokomotiva Zagreb

🇨🇾CYPRUS - FIRST DIVISION
Omonoia Aradippou 0-1 Apollon Limassol

🇷🇴ROMANIA - LIGA I

Cluj 4-2 Metaloglobus Bucharest
Dinamo Bucuresti 1-1 Petrolul

🇿🇦SOUTH AFRICA - PSL
Richards Bay 2-2 Golden Arrows

🇪🇬EGYPT - PREMIER LEAGUE
Pharco 0-2 ZED
Al Ittihad 2-0 Haras El Hodood
Arab Contractors 0-1 National Bank

🇬🇭GHANA - PREMIER LEAGUE
Nations 2-1 Medeama

🇸🇦SAUDI ARABIA - PROFESSIONAL LEAGUE
Al-Taawon 1-0 Al-Okhdood
Neom 3-0 Damac
Al-Kholood 0-3 Al-Nassr

🇦🇺AUSTRALIA - A-LEAGUE
Wellington Phoenix 2-2 Melbourne City
Adelaide United 1-1 Macarthur

🇪🇸SPAIN - SEGUNDA DIVISION
Real Sociedad B 1-1 Las Palmas

🇩🇪GERMANY - 2.BUNDESLIGA
Magdeburg 1-2 Hannover
Nurnberg 1-1 Preussen Munster

🇮🇹ITALY - SERIE B
Bari 0-3 Palermo

🇫🇷FRANCE - LIGUE 2
Bastia 0-0 Nancy
Clermont Foot 0-1 Stade de Reims
Grenoble Foot 2-1 Amiens
Stade Lavallois 0-1 Pau
Montpellier 3-1 Guingamp
Rodez Aveyron 1-1 Red Star

🇳🇱NETHERLANDS - EERSTE DIVISIE
Almere City 1-2 Roda JC
Den Bosch 1-1 Emmen
ADO Den Haag 1-4 Jong AZ
Eindhoven 5-0 Maastricht
Vitesse 1-2 Dordrecht
Waalwijk 2-0 Oss

🇵🇹PORTUGAL - SEGUNDA LIGA
Penafiel 0-0 Leixoes

Watu Amkeni, Amkeni, Mnaambiwa Litakufa Jitu Kwa Hiki Kiumbe. Endeleeni Kula Mtori Nyama Ziko Chini. 🔥🔥🔥 Shida Zote Ameb...
31/01/2026

Watu Amkeni, Amkeni, Mnaambiwa Litakufa Jitu Kwa Hiki Kiumbe. Endeleeni Kula Mtori Nyama Ziko Chini. 🔥🔥🔥

Shida Zote Amebeba Jospin Loemba.

Kwani Yanga hapa mmetumia silaha gani?
31/01/2026

Kwani Yanga hapa mmetumia silaha gani?

‎🟩🟨⬛SIO KISASI, USHINDI NI HAKI YETU. Wananchi, tukutane Guantanamo Bay 💪 🔰...𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 𝐃𝐀𝐘‎‎🏆 CAFChampionsLeague‎⚽ Young Af...
31/01/2026

‎🟩🟨⬛SIO KISASI, USHINDI NI HAKI YETU. Wananchi, tukutane Guantanamo Bay 💪

🔰...𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 𝐃𝐀𝐘

‎🏆 CAFChampionsLeague
‎⚽ Young Africans 🆚 Al Ahly
‎📅 31.01.2026, Saturday
‎🏟️ New Amaan Complex, Zanzibar
‎🕖 16:00 EAT

‎. Follow me Dube son

Simba musiweke matumaini yenu kwa chama , chama ni mchezaji mzuri class 10 haswa ila kwa sasa anaitaji usaidizi mzuri il...
31/01/2026

Simba musiweke matumaini yenu kwa chama , chama ni mchezaji mzuri class 10 haswa ila kwa sasa anaitaji usaidizi mzuri ili yeye kuonesha ubora wake pia munatakiwa kufahamu chama mchango wake kwa sasa pale simba ni akili tu na sio vingine tegemeeni key 🔑 pass na balance ya timu ila mambo ya man to man hizo kazi za kina kagoma ile vija jasho kwa ajili ya timu kwa chama sio vitu vyake energy aipo chama wa sasa ni wa 45 minutes

Akuna ambae ajuhi ubora wa chama ila kuna vitu vitakosekana kwa chama huyu wa sasa haswa kwenye big match

Address

Tanzania
Mbeya

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dube son posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category