Macky sports news

Macky sports news Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Macky sports news, Sports Team, mbeya, Mbeya.

30/12/2022

𝐇𝐀𝐋𝐅 π“πˆπŒπ„: πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

🏟️ Benjamin Mkapa

SIMBA SC 1-1 TZ PRISONS
⚽ Bocco 12'
πŸŸ₯ Mbangula 24'
⚽ Juma 29'

Mzani upo msawazo mpaka mapumziko katika dimba la Benjamin Mkapa dhidi kati ya wenyeji Simba SC dhidi ya Wajelajela Tanzania Prisons.

Licha ya kuwa pungufu ya mchezaji mmoja, Tanzania Prisons ilimudu kupata bao la kusawazisha dhidi ya Mnyama.

sports news

Brazilian legend PelΓ© has passed away, one of the greatest of all time who changed the game.A man with a god-given talen...
29/12/2022

Brazilian legend PelΓ© has passed away, one of the greatest of all time who changed the game.

A man with a god-given talent, one of the historical names who will remain forever in the memory.

PelΓ© means football.

All thoughts with the family.

RIP, legend πŸ•ŠοΈ

Kuelekea mchezo wa Tanzania Prisons ugenini  dhidi ya Simba SC, uongozi wa klabu hi umeweka kitita cha Tsh milioni 30 en...
28/12/2022

Kuelekea mchezo wa Tanzania Prisons ugenini dhidi ya Simba SC, uongozi wa klabu hi umeweka kitita cha Tsh milioni 30 endapo Wajelajela hao wataifunga Simba SC.

Simba SC itachuana na Tanzania Prisons katika dimba la Benjamin Mkapa siku ya Ijumaa Desemba 30, 2022.

sport news

🚨 PROFESSOR MOHAMMED NASREDDINE NABI.Zikiwa zimebaki siku chache kufunguliwa dirisha dogo la usajili nchini Tanzania mab...
05/12/2022

🚨 PROFESSOR MOHAMMED NASREDDINE NABI.

Zikiwa zimebaki siku chache kufunguliwa dirisha dogo la usajili nchini Tanzania mabingwa wa nchi Yanga kupitia Uongozi wao tayari kupokea ripoti nzima ya usajili Kutoka kwa Mwalimu wao PROFESSOR MOHAMMED NASREDDINE NABI.

Ni ijumaa hii ya ya terehe 9.12.2022 Professor Mohamed Nasreddine Nabi akiwa na msaidizi wake Cedric kaze wanatarajiwa kukutana na mtendaji mkuu wa Yanga Andre mtine kujadili mambo mbalimbali ya usajili na ripoti za duru za raundi ya kwanza Nbc primier league na mwenendo mzima wa timu kwa ujumla.

Hadi sasa bado hakuna taarifa rasmi Kutoka kwenye jopo la kamati ya usajili kuthibitisha majina ya wachezaji ambao watakuja Yanga sc na watakaondoka kwa mikopo au moja kwa moja kwa moja.

🚨DONDOO ZA USAJILI YANGA.

Kocha mkuu Mohammed Nasreddine Nabi amewaomba mabosi wake kumalizana na wachezaji wao kwanza ambao wanamaliza mikataba yao ndani ya Yanga hivi karibuni baada ya msimu huu kuisha.Baadhi ya wachezaji ambao Nabi anataka kuona wanapatiwa mikataba mipya kuendelea kusalia jangwani ni pamoja na.

πŸ”° DJIGUI DIARRA(Mazungumzo yanaendelea kwa ajili ya mkataba mpya)
πŸ”° DICKSON JOB(Mazungumzo yanaendelea kwa asilimia kubwa yanakwenda kumalizika mkataba ambao Yanga wamemwekea mezani job ni wa muda wa miaka miwili)

πŸ”° KHALID AUCHO (Mazungumzo baina na Yanga na Aucho yanaendelea kwa sasa na Mchezaji mwenyewe amewatoa hofu mabosi wake bado anataka kuendelea kucheza Yanga kwa msimu mwingine Katika mkataba wa Khalid Aucho na Yanga wa Sasa kuna kipengele Cha nyongeza ya mwaka mmoja mbele K**a ataendelea kusalia jangwani.)

πŸ”°JESUS DUCAPEL MOLOKO(Bado mazungumzo hayajaanza rasmi Ila Kutoka kwa wakala wake Nestory amemthibitishia kupokea ofa Kutoka kwa Yang sc kumuhitaji Jesus Moloko kuendelea kusalia jangwani)

πŸ”° YUSUPH ATHUMANI,,DAVID BRYSON:Wanaweza kuondoka Yanga dirisha hili dogo la usajili kwa mkopo.)

⏳ Kwenye usajili huu unaotarajiwa kwenda kufanyika ndani ya Yanga nafasi ambazo Yanga wanatak kwenda kuziongezea nguvu kwenye kikosi chao ni pamoja na nafasi za;

πŸ‘‰BEKI WA KATI (WAKIMATAIFA)
πŸ‘‰KIUNGO WA KATI NAMBA 8.
πŸ‘‰WINGA MMOJA MWENYE UWEZO WA KUCHEZA NAFASI ZOTE ZA WINGA AMBAYE ANATUMIA SANA MGUU AA KUSHOTO.
πŸ‘‰ MSHAMBULIAJI MMOJA WA KATI WA KUJA KUSAIDIANA NA MAYELE.

🚨OFA.

-Hakuna ofa yoyote Kutoka Angola ya kumuhitaji Fiston kalala Mayele ambayo Yanga wamepokea.

-Dodoma Jiji wanamtaka kwa mkopo Dickson ambundo dirisha dogo la usajili
-Kmc wameonesha nia ya kumuhitaji mshambuliaji Yusuph athumani kwa mkopo.

-Yanga sc wapo mbioni kumpatia ofa nono kiungo wao Feisal salumu kwa kumpa mkataba mpya kuendelea kubakia Yanga sc.

-Yanga sc wanatarajiwa kuanza zoezi la kusaka vipaji kwa timu za vijana U17,,U21 nchi nzima zoezi ambalo litasimamiwa na makocha SAID MAULID "SMG",,BAKARI MALIMA,,SALVATORY EDWARD

π—™π—¨π—Ÿπ—Ÿ π—§π—œπ— π—˜β±οΈYoung Africans SC 1-0 Tanzania Prisons
04/12/2022

π—™π—¨π—Ÿπ—Ÿ π—§π—œπ— π—˜β±οΈ

Young Africans SC 1-0 Tanzania Prisons


04/12/2022

Poland out in world cup
France 3 Poland 0
Giroud
Mbappe x2

45+’ |   Young Africans SC 0-0 Tanzania Prisons
04/12/2022

45+’ |

Young Africans SC 0-0 Tanzania Prisons


MATCHDAY. πŸ†š πŸ—“ Sunday 04th Dec 2022⏱ 16:00 EAT. 🏟 Nyankumbu, Geita. πŸ†       #️⃣
04/12/2022

MATCHDAY.
πŸ†š
πŸ—“ Sunday 04th Dec 2022
⏱ 16:00 EAT.
🏟 Nyankumbu, Geita.
πŸ†
#️⃣

04/12/2022
Denzel Dumfries tells The Athletic on Chelsea links: β€œOf course it’s a big compliment to be linked with Chelsea, but pla...
04/12/2022

Denzel Dumfries tells The Athletic on Chelsea links: β€œOf course it’s a big compliment to be linked with Chelsea, but playing for Inter it’s big compliment too”. πŸš¨πŸ”΅

β€œChelsea move in January? I’m focused on nothing else but national team and Inter”.

Kikosi cha Simba kinaanza safari kurudi jijini Dar es Salaam.
04/12/2022

Kikosi cha Simba kinaanza safari kurudi jijini Dar es Salaam.

Address

Mbeya
Mbeya
TUNDUMA

Telephone

+255789847994

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Macky sports news posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Macky sports news:

Share

Category