02/06/2026
๐ถ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
๐นYanga wapo kwenye mchakato wa kumsajili beki wa Kushoto wa Singida BS Ibrahim Imoro ambaye atakuja kuchukua nafasi ya Boka ambaye ataachwa mwisho mwa msimu na Imoro atachukua nafasi yake.
๐นYanga wanataka kumaliza Sajili zote mapema ili wawahi kufanya maandalizi ya msimu mpya mapema na wachezaji wazoeana mapema kwa sababu watakuwa na chini ya kocha mpya
NB;Jezi ya njano inampendeza sana huyi bwana mdogo ni vile tu alichelewa kuja Young Africans Sports Club
โ๏ธ๐บ๐จ๐ด ๐๐จ๐ต๐ฎ๐จ