HK Viwanjani

HK Viwanjani KARIBU UJIPATIE BIDHAA INAYOENDANA NA PESA YAKO ELECTRONICS DEVICES ZOTE KWA BEI NAFUU SANA Whatsapp ๐Ÿ“ž0625540370
Kawaida ๐Ÿ“ž0625540370

Habarika kispoti kwa kupata habari za michezo ulimwenguni

๐Ÿšจ OFFICIAL: Kiungo wa zamani wa Klabu ya Simba SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, Deborah Fernandez ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฌ hapo jana aliisaidia Klabu yake ya Swehly FC ...
13/06/2026

๐Ÿšจ OFFICIAL: Kiungo wa zamani wa Klabu ya Simba SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, Deborah Fernandez ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฌ hapo jana aliisaidia Klabu yake ya Swehly FC ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡พ kubeba Ubingwa wa Ligi Kuu Nchini Libya ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡พ baada ya kushinda kwa Penalti 4-3 dhidi ya Al Nasr baada ya mchezo kumalizika kwa sare ya bao 1-1.
Al Nasr ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡พ ni Klabu ambayo wanachezea wachezaji watatu wa zamani wa Simba SC, Kibu Denis ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, Steven Mkwala ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ na Fabrice Ngoma ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ.

Mikel Obi kabla ya mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Dunia kati ya Mexico na Afrika Kusini:"Leo Waafrika wote tunaishangili...
13/06/2026

Mikel Obi kabla ya mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Dunia kati ya Mexico na Afrika Kusini:

"Leo Waafrika wote tunaishangilia Mexico! Mnajua kwa nini? Tunataka Afrika Kusini waondoke mapema warejee nyumbani kulinda ajira zao. Tukiwashabikia, watasema tunawanyang'anya kazi zao!"

Ni mbayaaaaaa!๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

follow us

11/06/2026

BASI KAZIIII

๐Ÿšจ HABARI MPYA:Mwamuzi wa soka kutoka Somalia, Omar Artan, ameteuliwa kusimamia mechi inayosubiriwa kwa hamu kati ya Pari...
11/06/2026

๐Ÿšจ HABARI MPYA:
Mwamuzi wa soka kutoka Somalia, Omar Artan, ameteuliwa kusimamia mechi inayosubiriwa kwa hamu kati ya Paris Saint-Germain F.C. na Aston Villa F.C. huko Salzburg katika michuano ya UEFA Cup 2026.
Hii ni hatua kubwa kwa mwamuzi huyo, ambaye hapo awali alikosa nafasi ya kushiriki katika Kombe la Dunia baada ya kunyimwa ruhusa ya kuingia nchini Marekani.

For the first time in history, weโ€™ll have ๐Ÿ”Ÿ African teams in the FIFA World Cup! ๐Ÿคฉ๐Ÿซถ
09/06/2026

For the first time in history, weโ€™ll have ๐Ÿ”Ÿ African teams in the FIFA World Cup! ๐Ÿคฉ๐Ÿซถ

Cha kiume.. si ndio ๐Ÿ˜
09/06/2026

Cha kiume.. si ndio ๐Ÿ˜

Klabu ya Kagera Sugar imeungana na Geita Gold FC kurejea Ligi kuu ya soka ya NBC Tanzania bara baada ya ushindi wa 3-0 d...
09/06/2026

Klabu ya Kagera Sugar imeungana na Geita Gold FC kurejea Ligi kuu ya soka ya NBC Tanzania bara baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Kengold FC katika uwanja wa Kaitaba, Kagera na kufikisha pointi 68 ambazo haziwezi kifikiwa na Mbeya Kwanza na Polisi Tanzania waliopo nafasi ya tatu na nne mtawalia zikiwa zimesalia mechi mbili Ligi kutamatika.

Kocha Juma Kaseja amewarejesha Wanankurukumbi Ligi kuu wakifikisha jumla ya alama 68 baada ya kushinda mechi 21, sare 6 na vichapo viwili kwenye michezo 28 ikiwa ni msimu mmoja tu tangu washuke daraja mwishoni mwa msimu wa uliopita.

MSIMAMO ๐Ÿ”4๏ธโƒฃ Championship
1. Geita Gold FC โ€” mechi 28 โ€” pointi 71
2. Kagera Sugar โ€” mechi 28 โ€” pointi 68
3. Mbeya Kwanza โ€” mechi 28 โ€” pointi 60
4. POLISI Tz FC โ€” mechi 28 โ€” pointi 60

Ameskika Leo wakala wa Jean Claude Girumugisha kupitia mahojiano ya kwenye Crown FM Radio.Akisema yakuwa Kwa sasa thaman...
06/06/2026

Ameskika Leo wakala wa Jean Claude Girumugisha kupitia mahojiano ya kwenye Crown FM Radio.
Akisema yakuwa Kwa sasa thamani ya mteja wake inafika mpaka Dola million 1.5 za kimarekani Ambayo ukiileta kwenye fedha zetu za kibongo ni karibia billion 3 na point kadhaaaa na hakuishia hapo akasema viongozi wa Yanga walimfuata kuulizia huduma ya mteja wake walipotajiwa bei bado hawajpeleka mrejesho kwake.

Ila tuwe wa kwelii k**a thamani ya huyu mchezaji ni billion 3 basi hakuna club yoyote inaweza ikampata hapaa bongo maana usajili wetuu tunaujuwa hakuna Club ya kutoa hiyoo hela k**a kwelii thamani Yake ikoo hivooo

Ameelezea jins alivyomleta kagere simba nakuongezea kua soka la Tanzania analijua vizuri

Klabu ya Simba SC inatajwa kumuweka katika rada zao mshambuliaji Kevin Bakare Ouato anayekipiga katika klabu ya Asec Mim...
06/06/2026

Klabu ya Simba SC inatajwa kumuweka katika rada zao mshambuliaji Kevin Bakare Ouato anayekipiga katika klabu ya Asec Mimosa inyoshiriki Ligi Kuu Ivory Coast ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ณ

Kevin Bakare ambaye alijiunga na Asec Mimosa July 2025 akitokea Club Omnisports de Korhogo (CO Korhogo) ya hapo hapo Ivory Coast

Profile ya yake
Jin: Kevin Bakare Ouato
Kuzaliwa: March 09, 2004
Umri: Miaka 22
Urefu: 184cm
Nafasi: Mshambuliaji/Winga wa Kulia
Klabu ya sasa: Asec Mimosa

Msimu huu akiwa na Asec kwenye ligi kuu kafunga mabao 12 akiwa nafasi ya 03 kwa ufungaji bora nyuma ya miamba 03

Vinara wa upachikaji mabao Ligie 1 LONACI
1. Amani Michael AFAD Plateau - 17โšฝ๏ธ
2. Tidiane Diabate - CO Korhogo- 14โšฝ๏ธ
3. Souleymane Fofana- Asec Mimosa- 12โšฝ๏ธ
4. Kevin Bakare- Asec Mimosa- 12โšฝ๏ธ
5. Sindou Bakayoko - Stella Adjame - 11โšฝ๏ธ

Takwimu zake katika ligi kuu
Mechi 20
Magoli 12
Assist 03
๐Ÿ†Ligi Kuu โœ…๏ธ

Kwenye CAFCL
Mechi 02
Magoli 00
Assist 00
K.Njano 00
K.Nyekundu 00
Asilimia za kuanza kikosi cha kwanza 50%
Wastani wa dakika za kucheza kiwanjani - 75

Combination yake na Souleymane Fofana imechangia maholi 24 yaliyowawezesha wao kutwaa taji la Ligi Kuu Ivory Coast ๐Ÿ†

Simba itakabiliana na upinzani kutoka kwa Al Masry ya Misri na Grenoble Foot ya Ufaransa inayoshiriki Ligi Daraja la Pili Ufaransa

Je! Simba wataharakisha kufamikisha dili hili??

๐ŸšจKOCHA wa Simba, Steve Barker, amefanya mabadiliko ya muundo wa kikosi chake yanayomuhusu sana Elie Mpanzu ambaye Jumapi...
06/06/2026

๐ŸšจKOCHA wa Simba, Steve Barker, amefanya mabadiliko ya muundo wa kikosi chake yanayomuhusu sana Elie Mpanzu ambaye Jumapili iliyopita ya Mei 24, 2026 aliwapa Wekundu hao wa Msimbazi ushindi, akisema sasa Mkongomani huyo atakuwa anacheza k**a mshambuliaji wa kati.

Mechi tatu zilizopita za Simba, Barker amemuondoa Mpanzu kutoka kucheza k**a kiungo anayeshambulia akitokea pembeni na sasa anamuanzisha eneo la mshambuliaji wa kati, mabadiliko ambayo yamemrudisha benchi mshambuliajia halisi Seleman Mwalimu.

Akizungumzia mabadiliko hayo, Barker ameliambia Mwanaspoti kuwa, kwasasa Mpanzu ni mmoja wa washambuliaji wake wa kati ambapo atakuwa anamtumia eneo hilo kuiongezea timu hiyo ubora.

Barker amesema anataka safu yake ya ushambuliaji iwe na watu wenye kasi ambao mara wanapounasa mpira wanatakiwa kukimbia haraka kwenda kushambulia wakati ambao wapinzani wanakuwa bado hawajajipanga sawasawa.

โ€œMpanzu ni mmoja wa washambuliaji wetu kwasasa, nakubaliana na wewe kwamba alikuwa anatumika kuna wakati akitokea pembeni lakini sasa atakuwa anacheza hapo, kuna kitu bora zaidi tunakilenga kutoka kwake,โ€

โ€œTunahitaji watu wenye kasi zaidi kule mbele ambao wakati timu pinzani ikipoteza mpira, tunatakiwa kuwa na kasi ya haraka kwenda kuwashambulia kabla hawajajipanga sawasawa na hili limekuwa linafanyika sawasawa.โ€

Address

Ferry
Kigamboni

Telephone

+255657352872

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when HK Viwanjani posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to HK Viwanjani:

Share