Cliff

Cliff *Sports Analyst 📌
*Sports content creator 🔥,
*Jersey trader 👕🎽,

Kwa mawasiliano zaidi: +255622211477 au +255762868803. location: Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿.
(5)

🏆⚽ KOMBE LA DUNIA LIMEWADIA! ⚽🏆Je, uko tayari kuisapoti timu yako? 🇧🇷🇦🇷🇫🇷🇩🇪🇪🇸  tumekusogezea jezi za mataifa yote yataka...
11/06/2026

🏆⚽ KOMBE LA DUNIA LIMEWADIA! ⚽🏆

Je, uko tayari kuisapoti timu yako? 🇧🇷🇦🇷🇫🇷🇩🇪🇪🇸

tumekusogezea jezi za mataifa yote yatakayoshiriki michuano ya Kombe la Dunia. Jezi zetu zinapatikana katika ubora wa hali ya juu wa Grade 1 Player Version pamoja na Fan Version.

🎁 OF A MAALUMU!
Nunua jezi 3 au zaidi za mataifa mbalimbali na upate jezi 1 BURE kabisa! 🔥💥

📲 Weka oda yako sasa kupitia WhatsApp:
☎️ 0622 211 477
☎️ 0762 868 803

📍 Tunapatikana Kariakoo, Msimbazi B, Dar es Salaam, Tanzania.

Karibu sana ndugu wateja, tupate kukuhudumia kwa jezi bora, za kisasa na zenye ubora wa hali ya juu. 👕✨

FanVersion DarEsSalaam Tanzania ⚽🔥👕

BREAKING 🔴: Barcelona wamemfungia Xavi Hernandez kucheza mechi zozote zinazowakutanisha malijendi wa klabu hiyo kufuatia...
11/06/2026

BREAKING 🔴: Barcelona wamemfungia Xavi Hernandez kucheza mechi zozote zinazowakutanisha malijendi wa klabu hiyo kufuatia mgogoro baina yake na raisi wa klabu hiyo Joan Laporta.

Uamuzi huo umekuja kutoka mamlaka kuu ya klabu hiyo na kuanzia sasa Xavi atahesabika k**a mchezaji wa zamani tu wa klabu na sio kujumuishwa kwenye mechi za malijendi wa klabu hiyo.

Source: [ fansjavimiguel ]

FOLLOW US.

BREAKING 🔴: Content Creators marufuku kurekodi video yoyote kwenye mashindano ya Kombe la Dunia mpaka uwe na kibali maal...
11/06/2026

BREAKING 🔴: Content Creators marufuku kurekodi video yoyote kwenye mashindano ya Kombe la Dunia mpaka uwe na kibali maalumu kutoka kwenye mamlaka.

Ikulu ya Marekani 🇺🇲 imetoa tamko hilo,ambae ataonekana anarekodi video Ili achapishe kwenye mitandao ya kijamii Kwa lengo la kujipatia pesa atak**atwa na kuchukuliwa hatua Kali za kisheria.

FOLLOW US.

PICHA 1 - Tuzo atakayokabidhiwa mchezaji Bora kwenye mashindano ya Kombe la Dunia.PICHA 2 - Tuzo atakayokabidhiwa mfunga...
11/06/2026

PICHA 1 - Tuzo atakayokabidhiwa mchezaji Bora kwenye mashindano ya Kombe la Dunia.

PICHA 2 - Tuzo atakayokabidhiwa mfungaji Bora wa mashindano ya Kombe la Dunia.

PICHA 3 - Tuzo atakayokabidhiwa Golikipa Bora wa mashindano ya Kombe la Dunia.

FOLLOW US.

BREAKING 🔴: FC Bayern München wamewasilisha MEZANI kwa PSV Eindhoven ofa yenye thamani ya €45m wakilenga kumsajili mchez...
11/06/2026

BREAKING 🔴: FC Bayern München wamewasilisha MEZANI kwa PSV Eindhoven ofa yenye thamani ya €45m wakilenga kumsajili mchezaji wao Ismail Saibari.

PSV Eindhoven wamewaambia FC Bayern München kuwa wanataka €50m Ili wakubali kuamuachia mchezaji huyo raia wa Morocco 🇲🇦.

FOLLOW US.

Ikulu ya White House inajibu uamuzi wa kumnyima Omar Abdulkadir Artan kuingia Marekani, The Athletic inaripoti. ❌"Baada ...
11/06/2026

Ikulu ya White House inajibu uamuzi wa kumnyima Omar Abdulkadir Artan kuingia Marekani, The Athletic inaripoti. ❌

"Baada ya ukaguzi zaidi wa CBP, taarifa za dharau, ikiwa ni pamoja na ushirika na wanachama wanaoshukiwa kuwa wa mashirika ya kigaidi, ziligunduliwa. Kumfanya msafiri asistahiki kuingia Marekani chini ya Sheria ya Uhamiaji na Utaifa" 📃

"Utawala wa RAIS TRUMP HAUTAWEKA TISHIO LOLOTE LA USALAMA KUINGIA NCHI YETU, FULL STOP" ⚖️

Waandishi wawili wa habari kutoka  Korea Kusini wamezua mjadala mkubwa baada ya microphone zao za moja kwa moja kunasa S...
11/06/2026

Waandishi wawili wa habari kutoka Korea Kusini wamezua mjadala mkubwa baada ya microphone zao za moja kwa moja kunasa Sauti zao wakimkejeli nahodha wa timu ya taifa hiyo, Son Heung-min, wakati wa mazoezi.

Walipokuwa wakimtazama Son akifanya mazoezi makali ya mwili, mmoja wa waandishi alisema kwa kukosoa: "Kwa nini anakimbia k**a anaongoza kikosi cha wanajeshi? Anafikiri yuko jeshini?"

Jibu la mwandishi mwenzake lilizua utata zaidi aliposema: "Hata huduma yake ya kijeshi hakuihitimisha. Wajinga hawa hawajui chochote kuhusu jeshi."

ni majungu tu 😂.

FOLLOW US.

Tyla, mrembo wa Afrika Kusini aliyeshinda Grammy, amethibitishwa kuimba wimbo wa taifa, "Nkosi Sikelel' iAfrika", katika...
11/06/2026

Tyla, mrembo wa Afrika Kusini aliyeshinda Grammy, amethibitishwa kuimba wimbo wa taifa, "Nkosi Sikelel' iAfrika", katika hafla ya ufunguzi wa Kombe la Dunia la FIFA 2026 huko Mexico City Alhamisi hii, tarehe 11 Juni!

Mwongozo Rasmi wa Utendaji:

Alejandro Fernández 2. Kutumbuiza wimbo wa taifa wa Mexico.

🎶 Timu iliyojaa nyota, Belinda, Burna Boy, Danny Ocean, J Balvin, Lila Downs, Los Angeles Azules, Mana na Shakira wote wamewekwa katika orodha ili watumbuize pia.

🌟 Salma Hayek Pinault Ingia Balozi wa Kombe la Dunia la FIFA 2026 atawakaribisha rasmi mashabiki katika Jiji la Mexico.

🔥 Mshiriki maalum Ryan Castro anatarajiwa kuungana na J Balvin jukwaani kwa onyesho la kusisimua.

FOLLOW US.

BREAKING 🔴: Aliyekuwa Muigizaji maarufu filamu za ngono (po*******hy) Elisa Sanches ameacha rasmi kazi hiyo na kuamua ku...
11/06/2026

BREAKING 🔴: Aliyekuwa Muigizaji maarufu filamu za ngono (po*******hy) Elisa Sanches ameacha rasmi kazi hiyo na kuamua kuwa mwamuzi wa mechi za mpira wa miguu nchini Brazil.

Mwamuzi Huyo kwa Sasa anaishi katika Mji wa Rio de Janeiro,anapatiwa mafunzo kamilifu na FERJ na imeonekana yupo tayari kuanza kutumika katika challenge mbalimbali za mpira wa miguu.

Mwanadada huyo ameyasema haya kuhusu uamuzi wake wa kuwa refarii mara baada ya kuacha kucheza po*******hy:
"Ndoto ya kuwa mwamuzi kwangu ipo Toka nikiwa mdogo,maisha yalisababisha nikaiacha na kwenda kwenye kucheza filamu za ngono ila kwa Sasa nimeona ndio wakati sahihi wakutimiza ndoto hii na mwisho nimeianza kutimiza na nipo tayari."

Source : [ UOL ]



FOLLOW US.

BREAKING 🔴: Klabu ya Juventus Turin imefungiwa kuingiza mashabiki kwenye mechi 10 mfululizo baada ya kukiuka kanuni za u...
11/06/2026

BREAKING 🔴: Klabu ya Juventus Turin imefungiwa kuingiza mashabiki kwenye mechi 10 mfululizo baada ya kukiuka kanuni za usalama.

Wizara ya mambo ya ndani nchini Italy 🇮🇹 imetangaza rasmi kuwa klabu ya Juventus kutoka Jiji la Turin imefungiwa kuingiza mashabiki kwenye mechi za mwanzo za msimu ujao 2026/27.

Adhabu hii imekuja kutokana na mashabiki wa klabu hiyo kufanya vurugu kubwa kwenye mchezo wa derby dhidi ya Torino FC msimu uliopita,vurugu zilizopelekea uharibifu wa Mali na miundombinu.

Adhabu ya kutoingiza mashabiki itahusika kwenye mechi za ugenini pekee kwasababu hiyo siku wanafanya fujo walikuwa ugenini pia.

FOLLOW US.

Address

Kijichi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Cliff posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Cliff:

  • Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility?

Share