ELIMU ZA SIRI

ELIMU ZA SIRI Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from ELIMU ZA SIRI, P. O. Box 94, Hombolo.

IJUE
๐Ÿ“ŒElimu ya Ndoa & Mahusiano
๐Ÿ“ŒElimu ya Viumbe & Historia za kale
๐Ÿ“ŒElimu ya Namba & matumizi yake
๐Ÿ“ŒElimu ya afya kimwili & kiroho
mawasiliano: +255617487689
:[email protected]

*_NB:_*Pia zingatia kuwa lengo la elimu sio kukumezesha fikra laa.. ila ni kukufikirisha uweze kupambanua kati ya zuri n...
19/11/2025

*_NB:_*
Pia zingatia kuwa lengo la elimu sio kukumezesha fikra laa.. ila ni kukufikirisha uweze kupambanua kati ya zuri na baya, kutofautisha kati ya Ulezi na mtama, kati ya uongo na ukweli ili uuweze kufanya mlinganyo kati ya haki na Batili.
usitumie elimu k**a nyenzo ya kupatia kazi au cheo laa hasha!

Maadam Elimu haizalishi wazalendo ila hutumika kujenga uzalendo na kazi yake kubwa ni kukufanya wewe kijana uwe ni mwenye kuhoji na si kumeza fikra maana usipozingatia kanuni ya elimu itakuomdolea maarifa yote kichwani na kukufanya uonekane mjinga katika jamii iliyokuzunguka.

Za kuambiwa changanya na zako. Ahsante๐Ÿ™

๐Ÿ“Œ *AL-QALBIYA* (NAFSI)Hii ni Elimu anayopata mtu au kiumbe yyt kwa njia kiroho tu, hususan wanadamu.Na aina hii ya elimu...
19/11/2025

๐Ÿ“Œ *AL-QALBIYA* (NAFSI)
Hii ni Elimu anayopata mtu au kiumbe yyt kwa njia kiroho tu, hususan wanadamu.
Na aina hii ya elimu huipata kundi maalumu la watu wachache ambao MUNGU amewachagua ima kuwapa nguvu hii k**a zawadi na kwa lengo maalumu (elimu isiyo ya kawaida).
Pia ili upate elimu kupitia njia hii ya nafsi, kuna madaraja matatu ambapo mawili ndo makhsusia kwa watu wa kawaida na moja ni makhsusia kwa Mitume au manabii wa Allah s.w.t

๐Ÿ“Œ *NJOZI ZA KWELI*
Hapa mtu hupata elimu mablimbali kupitia njozi e.g kufundishwa tiba ndotoni, kuota jambo kisha likatokea kweli au kuota mambo yajayo n.k

๐Ÿ“Œ *USEMESHO WA MALAIKA*
Hapa mtu huwa sio mpaka alale usingizi bali hata akiwa macho hisikia sauti ndani ya kichwa chake au kusemeshwa kawaida bila kumuona anayemsemesha huku sauti ikimuamuru kutenda majambo ya kheir zaidi.. na hii sio makhsusia kwa wale wenye majini au mizimu laa hasha..!

๐Ÿ“Œ *WAHYY/ UFUNUO*
Njia hii ni makhsusia tu kwa mitume na manabii ambao huwasiliana na Mungu moja kwa moja na sio kwa mtu wa kawaida laa hasha..! na hapa sijalenga wale manabii wa mchongo, wala chips.. hii haiwahusu kabisa. Ahsateni kwa leo, tukutane tena kesho kwenye somo linalofuata..๐Ÿ™

*_ELIMU YA KUTAFUTA (INDIRECT EDUCATION)_* Hii ni Elimu ambayo huipata kiumbe kwa kujifunza kutoka katika vyanzo mbalimb...
19/11/2025

*_ELIMU YA KUTAFUTA (INDIRECT EDUCATION)_*
Hii ni Elimu ambayo huipata kiumbe kwa kujifunza kutoka katika vyanzo mbalimbali k**a vitabu, shule, N.k na Elimu hii tumejaaliwa zaidi sisi wanadamu kuliko viumbe wengine.
e.g ili umiliki gari lazima ujifunze namna ya kuliendesha, ili ujue kutibia magonjwa lazima usome udaktari, ili uwe na mahusiano bora na mpenzi wako lazima usome elimu ya Ndoa N.k

sasa Aina hii ya elimu imegawanyika katika makundi au Njia kuu tatu.
๐Ÿ“Œ *AL-MA'ARIFATU SHUHUDIA* (ANA KWA ANA)
Hapa mtu hupata elimu kwa kujifunza ana kwa ana kupitia matendo yote yenye kuhusisha mifumo yote ya fahamu (macho, masikio, pua, mdomo, Ngozi nk, ikiwa ni kusoma vitabu, majarida, kusikiliza hadithi au mwalimu mashuleni. e.g huwezi kujua harufu fulani bila kunusa kwa pua, huwezi kujua ladha ya kitu fulani isipokuwa umeionja, vilevile huwezi kusoma na kuandika isipokuwa umejifunza kwanza.. wala kujua dhambi ni nini isipokuwa umesoma au kufundishwa na mtu.

๐Ÿ“Œ *AL-FAWDIA*(AKILI)
Hii ni elimu anayopata Mtu kwanjia ya kiakili tu. mfano ni pale mtu anapochezea sarafu chooni bila kujua madhara yake kisha ianguke shimoni alafu utambuzi ukamjia kwamba hatakiwi kuchezea sarafu sio tu chooni bali maeneo yote hatarishi.. Hapo anakuwa amepata utambuzi kwa kufikirsa akili binafs bila kufundishwa wala kusoma katika kitabu.
Na mara nyingi hutokea pale mtu anapokumbwa na changamoto ndogo ndogo na kubwa kubwa kiujumla.

*ELIMU NI NINI.?*kwanza kabisa kabla hatujasonga mbele tuanze na kuijua elimu kiundani ni kitu gani ikiwa katika jamii e...
19/11/2025

*ELIMU NI NINI.?*
kwanza kabisa kabla hatujasonga mbele tuanze na kuijua elimu kiundani ni kitu gani ikiwa katika jamii elimu imekuwa na maana mbalimbali bila kikomo.

๐Ÿ“ŒWapo watu ambao husema "_Elimu ni Ufunguo wa Maisha"_
๐Ÿ“ŒNa wengine kwenda mbali zaidi na maana mbalimbali za kiistilahi ya neno hili kwa kusema _"Elimu ni Mwanga ambao..." N.k_

*MAANA YA ELIMU*
๐Ÿ“ŒBila kutafuna maneno tuangalie elimu ni nini...
*ELIMU:* Ni ujuzi maalumu anaopata/alionao kiumbe yoyote yule hapa duniani kutoka kwa Mungu katika kufanikisha jambo lake lolote analolihitajia.

Jambo lolote lile utakalolihitajia hapa ulimwenguni hulipati wala kulifanikisha isipokuwa umetumia elimu makhsusia katika kulifanikisha jambo hilo aidha ni kula, kusafiri, kuoa, kiwasiliana, kuimarisha afya N.k

*NGUZO ZA ELIMU*
Elimu imegawanyika katika Nguzo kuu mbili, nazo ni;
1. Elimu ya kubarikiwa(Direct)
2. Elimu ya kutafuta(Indirect)

*_ELIMU YA KUBARIKIWA (DIRECT EDUCATION)_*
Hii ni Elimu ambayo kiumbe huwa amebarikiwa moja kwa moja aidha kwa namna nyingine huitwa elimu ya kuzaliwa nayo.
e.g mnyama Mbwa kulinda mji, hapo hutambua jukumu lake toka amezaliwa kuwa ni kulinda na sio mpaka afundishwe darasani.
na vilevile hata kwa viumbe wote kukimbia wanapokuta na hatari, ni elimu ambayo sio mpaka afundishwe darasani ila anakuwa kaumbwa nayo kila kiumbe mwenye kujongea kutoka sehemu moja kwenda nyingine (Locomotive being).

please welcome and don't forget to subscribe and visit:YT: mint filmzIG: mintface_masala Tiktok: mintface masala
06/07/2022

please welcome and don't forget to subscribe and visit:

YT: mint filmz

IG: mintface_masala

Tiktok: mintface masala

02/03/2022

UNFORGETABLE STARS

Address

P. O. Box 94
Hombolo

Telephone

+255687839596

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ELIMU ZA SIRI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to ELIMU ZA SIRI:

Share