Sports docter newz

Sports docter newz Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Sports docter newz, Sports, 372 kigoma, Dodoma.

Karb tukuhudumie, kwa maelezo zaid tupgie, 0628998859
04/07/2021

Karb tukuhudumie, kwa maelezo zaid tupgie, 0628998859

shirikisho la soka nchin Kenya limemtangaza FRANSIS KIMANZ kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya nchin humo the harambee s...
21/08/2019

shirikisho la soka nchin Kenya limemtangaza FRANSIS KIMANZ kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya nchin humo the harambee stars.

Soma vichwa vya magazeti ya leo tarehe 07/08/2019.
07/08/2019

Soma vichwa vya magazeti ya leo tarehe 07/08/2019.

Vichwa vya magazeti ya leo tarehe 07/08/2019.
07/08/2019

Vichwa vya magazeti ya leo tarehe 07/08/2019.

Club ya rayon sports ya nchin rwanda imethibitisha kumsajili nyota Omar Sidibe kwa kandarasi ya miaka miwili.
06/08/2019

Club ya rayon sports ya nchin rwanda imethibitisha kumsajili nyota Omar Sidibe kwa kandarasi ya miaka miwili.

Club ya rayon sports ya nchin rwanda imekamilisha usajili wa mchezaji Omar Sidibe kwa mkataba wa miaka miwili kuitumikia...
06/08/2019

Club ya rayon sports ya nchin rwanda imekamilisha usajili wa mchezaji Omar Sidibe kwa mkataba wa miaka miwili kuitumikia club hiyo.

  DONE: rasmi Gary cahil ajiunga na club ya Crystal palace ya nchin england kutoka Chelsea K**a mchezaji huru.
06/08/2019

DONE: rasmi Gary cahil ajiunga na club ya Crystal palace ya nchin england kutoka Chelsea K**a mchezaji huru.

Soma vichwa vya magazeti ya leo 06/08/2019.
06/08/2019

Soma vichwa vya magazeti ya leo 06/08/2019.

Aliekuwa mchezaji wa Simba Asante kwasi ahusishwa kujiunga na club ya baroka fc ya afrika kusini.
05/08/2019

Aliekuwa mchezaji wa Simba Asante kwasi ahusishwa kujiunga na club ya baroka fc ya afrika kusini.

Kikosi kamili Cha KMC FC msimu ujao 2019/2020.
05/08/2019

Kikosi kamili Cha KMC FC msimu ujao 2019/2020.

Anaitwa issa bigirimana.
05/08/2019

Anaitwa issa bigirimana.

Power dynamos fc kutoka Zambia tayari washaingia Tanzania kwa ajili ya mechi na Simba iyo kesho kutamatisha Simba day.
05/08/2019

Power dynamos fc kutoka Zambia tayari washaingia Tanzania kwa ajili ya mechi na Simba iyo kesho kutamatisha Simba day.

Address

372 Kigoma
Dodoma
GILMANCHARLES

Telephone

+255743544907

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sports docter newz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category