31/07/2026
NDANI NTITI - NJE NTITI
Yanga SC bado wako kambi ya PRE SEASON wakiendelea na maandalizi ya msimu mpya, na tayari wameungana na nyota wao wapya waliowatambulisha na wengine wanataraji kujiunga na timu hivi karibuni,
Ifuatayo ni idadi na orodha ya wachezaji wa kigeni watakaounda (Wachezaji 12 WA kigeni wanaohitajika kwa msimu)
IDADI/ORODHA YA NYOTA WA KIGENI:
1.Diarra Djigui
2.Kouassi Yao
3.Boka Shadrack
4.Max Nzengeli
5.Duke Abuya
6.Allan Okello
7.Peter Shalulile
8.Ibrahima Troure
9.Kangwanda
10.Fred Ngoma
11.Zakouani
12.Oumar K**aro
K**a kuna mchezaji hujamuona kwenye orodha hii, huyo sio sehemu ya wachezaji wa kigeni watakaoiwakilisha Yanga SC ndani ya msimu unaotaraji kuanza.
NB:
Najua maswali ni mengi ila haya ya sasa ndio majibu ya kila swali toka kwenu.
Amirkhan Yanga Sports