Jamii, Michezo na Elimu

Jamii, Michezo na Elimu Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Jamii, Michezo na Elimu, Sport & recreation, I don't have a physical address, Dodoma.

Timu nane za hatua ya robo fainali CRDB Bank Federation Cup zishapatikana, leo Ijumaa Aprili 17 inafanyika droo ili kuju...
17/04/2026

Timu nane za hatua ya robo fainali CRDB Bank Federation Cup zishapatikana, leo Ijumaa Aprili 17 inafanyika droo ili kujua nani na nani watakutana.

Droo hii itafanyika kuanzia saa 6:00 mchana na kuruka mbashara kupitia AzamSports1HD.

Timu zilizofuzu hatua ya robo ni Yanga SC, Simba SC, Azam FC, Singida United, TRA United, JKT Tanzania, Mashujaa FC, na Coastal Union.

Ni magoli sita yamekaa kwenye nyavu za Mbeya City.FT: Yanga SC 6-0 Mbeya City Ilikuwa LIVE
16/04/2026

Ni magoli sita yamekaa kwenye nyavu za Mbeya City.

FT: Yanga SC 6-0 Mbeya City

Ilikuwa LIVE

Kipindi cha kwanza yanga kapiga kamba Tano.
16/04/2026

Kipindi cha kwanza yanga kapiga kamba Tano.

Champions League semi-finalists ✅
15/04/2026

Champions League semi-finalists ✅

Simba SC kukipiga Leo April 15 dhidi ya Fountain gate.Je Mnyama ataendeleza ubabe wake au atalala chali Leo?
15/04/2026

Simba SC kukipiga Leo April 15 dhidi ya Fountain gate.

Je Mnyama ataendeleza ubabe wake au atalala chali Leo?

Ratiba ya ligikuu ya NBC tanzania mzunguko wa 19
14/04/2026

Ratiba ya ligikuu ya NBC tanzania mzunguko wa 19

12/04/2026

Kikosi Simba kikiwasili uwanjani.

Kikosi cha Mnyama kinachoshuka uwanjan dhidi ya Dodoma jiji
12/04/2026

Kikosi cha Mnyama kinachoshuka uwanjan dhidi ya Dodoma jiji

Nusu Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika Saa 4:00 usiku, Esperance De Tunis watakuwa uwanja wa nyumbani wakiwakaribisha Mame...
12/04/2026

Nusu Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika

Saa 4:00 usiku, Esperance De Tunis watakuwa uwanja wa nyumbani wakiwakaribisha Mamelodi Sundowns.

Je, ni The Beast of Africa ama Masandawana nani kutanguliza mguu mmoja fainali?

Mchezo huu utaruka mbashara kupitia AzamSports2HD.

The Premier League is back this week.
10/04/2026

The Premier League is back this week.

Quarter-final first legs ✅
10/04/2026

Quarter-final first legs ✅

Address

I Don't Have A Physical Address
Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jamii, Michezo na Elimu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share