Mshana sport 90+

Mshana sport 90+ Sport

MVP ajaye
23/05/2026

MVP ajaye

๐Ÿ“Š TAKWIMU ZA VIUNGO WASHAMBULIAJI ๐Ÿ”ฅ๐ŸŸข Allan Okello (Yanga SC)โšฝ Magoli: 9๐ŸŽฏ Assists: 7๐Ÿ”ด Clatous Chama (Simba SC)โšฝ Magoli: 8...
23/05/2026

๐Ÿ“Š TAKWIMU ZA VIUNGO WASHAMBULIAJI ๐Ÿ”ฅ

๐ŸŸข Allan Okello (Yanga SC)
โšฝ Magoli: 9
๐ŸŽฏ Assists: 7

๐Ÿ”ด Clatous Chama (Simba SC)
โšฝ Magoli: 8
๐ŸŽฏ Assists: 6

Wote wanaendelea kuwa muhimu sana kwenye ubunifu na ushambuliaji wa timu zao msimu huu ๐Ÿ’ซโšฝ

Je, nani ana mchango mkubwa zaidi kwa timu yake kati ya hawa wawili? ๐Ÿ‘€๐Ÿ”ฅ

๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐—๐—จ๐—ฆ๐—ง ๐—œ๐—ก: imefichuka kuwa mfadhili mkuu wa Yanga (GSM) ameingilia kati jambo la Bonus za wachezaji kuelekea mwishoni mw...
23/05/2026

๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐—๐—จ๐—ฆ๐—ง ๐—œ๐—ก: imefichuka kuwa mfadhili mkuu wa Yanga (GSM) ameingilia kati jambo la Bonus za wachezaji kuelekea mwishoni mwa msimu.

GSM amewaahidi wachezaji wa Yanga kupewa Bonus kubwa sawa na ile inayotoka kwenye mechi za CAF Champions League kwenye kila mechi ambayo watashinda ya NBC msimu huu.

Yes! Kuanzia leo wachezaji wa Yanga watapewa Bonus sawa na ile ya mechi za CAF kwenye kila ushindi wa mechi zilizobaki za NBC๐Ÿค”

GMS anataka matokeo ya ushindi tu na siyo sare wala kupoteza ili kutetea taji la ligi kuu msimu huu.

Mchezaji Bora wa mwezi April NBC PREMIEL LEAGUE ALLAN OKELLO amekabidhiwa tuzo yake.
22/05/2026

Mchezaji Bora wa mwezi April NBC PREMIEL LEAGUE ALLAN OKELLO amekabidhiwa tuzo yake.

๐Ÿšจ Official: Young Africans have unveiled the signing of former Simba captain Mohamed โ€˜Tshabalalaโ€™ Hussein.   ๐Ÿ”ฐ
05/08/2025

๐Ÿšจ Official:

Young Africans have unveiled the signing of former Simba captain Mohamed โ€˜Tshabalalaโ€™ Hussein.

๐Ÿ”ฐ

MVP WA IVORY COAST-ECUAKlabu ya Yanga imemtambulisha Rasmi Celestine Ecua (Miaka 22) raia wa Ivory Coast, Ecua anajiunga...
01/08/2025

MVP WA IVORY COAST-ECUA
Klabu ya Yanga imemtambulisha Rasmi Celestine Ecua (Miaka 22) raia wa Ivory Coast, Ecua anajiunga na Yanga akitokea Zoman FC

Ecua amewahi pia kukupiga kwenye Klabu ya Asec Memosa kwa mkopo akitokea Zoman na msimu wake Bora kwenye soka ulikuwa ni msimu wa

LIGI KUU - IVORY COAST

Mechi: 27
Magoli: 13
Asisti: 12
Penalti zilizofungwa: 2
Jumla ya mchango wa magoli (G/A): 25

Mfungaji Bora wa Pili
Mchezaji Bora wa Msimu (MVP)

Ecua alionyesha kiwango cha juu kwa kuchangia karibu kila mechi moja (asilimia 0.93 ya G/A kwa kila mechi), na kuwa mmoja wa washambuliaji hatari zaidi msimu huu.

KOMBE LA SHIRIKISHO LA CAF
Mechi: 5
Alianza: 3
Miguso ndani ya boksi la wapinzani: 19
Shuti kwenye lango: 3
Magoli: 2
A Asisti: 0

Ecua amejiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili hadi 2027๐Ÿ—ž๏ธ

Lassine Kouma ni ๐ŸŸข๐ŸŸกYanga imekamilisha Usajili wa kiungo Mshambuliaji raia wa Mali Lassine Kouma mzaliwa wa 19/May 2004 [...
25/07/2025

Lassine Kouma ni ๐ŸŸข๐ŸŸก

Yanga imekamilisha Usajili wa kiungo Mshambuliaji raia wa Mali Lassine Kouma mzaliwa wa 19/May 2004 [21] kutoka klabu ya Stade Malien.

๐Ÿšจ๐Ÿšจ JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja.Beki huyo mwenye...
25/07/2025

๐Ÿšจ๐Ÿšจ JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja.

Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns.

Alijiunga na Masandawana k**a Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids.

Beki huyo anatumia zaidi mguu wa kuliaโœ๏ธ

Wa kwetu tayari anabaki, ๐๐š๐๐จ ๐ฐ๐š ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฎ๐Ÿ˜‚El Professor Pacome๐Ÿ“ƒ๐Ÿ”Taarifa kamili tembelea Yanga SC APP๐Ÿ“ฒ
24/07/2025

Wa kwetu tayari anabaki, ๐๐š๐๐จ ๐ฐ๐š ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฎ๐Ÿ˜‚

El Professor Pacome๐Ÿ“ƒ๐Ÿ”

Taarifa kamili tembelea Yanga SC APP๐Ÿ“ฒ


Pacome ataendelea kua kijani na nja o mpaka 2027
24/07/2025

Pacome ataendelea kua kijani na nja o mpaka 2027

๐ŸŸฉ๐ŸŸจโฌ›๏ธMFAHAMU KWA UCHACHE SANA MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC, CASEMIRO๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฐ...Majina yake matatu aliyopewa na wazazi wake ni Abdu...
23/07/2025

๐ŸŸฉ๐ŸŸจโฌ›๏ธMFAHAMU KWA UCHACHE SANA MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC, CASEMIRO๐Ÿ”ฅ

๐Ÿ”ฐ...Majina yake matatu aliyopewa na wazazi wake ni Abdulnassir Mohammed Abdallah ila anafahamika zaidi kwa jina la Casemiro kutokana na aina ya uchezaji wake pamoja na ubora wake awapo uwanjani uliopelekea afananishwe na Staa wa Manchester United๐Ÿ”ด, Casemiro.

๐Ÿ”ฐ...Kijana huyu mdogo kutoka Zanzibar ambaye ni kiungo mkabaji, alianza kucheza kwenye timu za mtaani kwao kisha baadae alijiunga na timu ya vijana ya Real Kids iliyopo Kikwajuni.

๐Ÿ”ฐ...Baada ya hapo Casemiro alijiunga na mabingwa wa Zanzibar, Mlandege FC๐ŸŸก msimu wa 2023/24 na kuisaidia kutwaa ubingwa wa ligi hiyo msimu wa 2024-2025 baada ya kucheza mechi zote 30 bila kukosa hata moja. Hata hivyo, Casemiro alichaguliwa kuwa mchezaji bora kijana kwa msimu wa 2024-2025 ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

โ—‡Abdulnassir Mohammed Casemiro sasa ametambulishwa kuwa mchezaji wa Young Africans๐ŸŸข baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu wa kuwapa furaha wananchi๐Ÿ”ฅ


Address

Ntyuka Dodoma
Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mshana sport 90+ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mshana sport 90+:

Share

Category