Yanga soccer school

Yanga soccer school Wapambanaji wetu wa kesho �����
(11)

UEFA Champions League Ni Vita ya mbinu za kispanyora leo ndani ya Budapest nani ataondoka na 🏆 ni Arsenal  au PSG - Pari...
30/05/2026

UEFA Champions League

Ni Vita ya mbinu za kispanyora leo ndani ya Budapest nani ataondoka na 🏆 ni Arsenal au PSG - Paris Saint-Germain

16’ | TFFYLYoung Africans Sc 1 🆚 0 Magnet Fc⚽️ Moses
30/05/2026

16’ | TFFYL

Young Africans Sc 1 🆚 0 Magnet Fc

⚽️ Moses


🟩🟨⬛WIKI MBILI BILA KUIONA YANGA UWANJANI ni wiki mbili za moto kwelikweli. Burudani yetu ni Yanga, Yanga ni burudani yet...
30/05/2026

🟩🟨⬛WIKI MBILI BILA KUIONA YANGA UWANJANI ni wiki mbili za moto kwelikweli. Burudani yetu ni Yanga, Yanga ni burudani yetu hivyo kutoiona dimbani kwa muda mrefu ni mtihani mzito mno.

Vipi na wewe ushaanza kuimiss timu yako?


Mabeki vitasa wa nchi 💚💛🇹🇿🇹🇿 Good morning from this side
30/05/2026

Mabeki vitasa wa nchi 💚💛🇹🇿🇹🇿
Good morning from this side

🟩🟨⬛WANANCHI habari za asubuhi 👋                 Max na Nkane wanawasalimia 🖐️🖐️🙌💚
30/05/2026

🟩🟨⬛WANANCHI habari za asubuhi 👋
Max na Nkane wanawasalimia 🖐️🖐️🙌💚

30/05/2026

Okelooooooooooooo 💚💚💚💚
Hii Ilikuwa Goal ya Ukombozi kwetu Wanainchi 💚💚💚

Muwe na asubuhi njema💚 💚💚💛   Wanainchi Muhamed Hussein Anawasalimia 💚💚💚🙏
30/05/2026

Muwe na asubuhi njema💚 💚💚💛
Wanainchi Muhamed Hussein Anawasalimia 💚💚💚🙏

Hizo point 2 ni sawa na point 10 kwahiyo msijifariji sana hakuna kupoteza point michezo iliyo bakia💪 Come On You Wananch...
30/05/2026

Hizo point 2 ni sawa na point 10 kwahiyo msijifariji sana hakuna kupoteza point michezo iliyo bakia💪
Come On You Wananchi 🔰🔰

Huyu ndiye Nahodha Mtanzania mwenye mafanikio makubwa zaidi Tanzania baada ya Mbwana Samatta.Tubishane… 🙏🙏🙏🙏🙏🙌💚
29/05/2026

Huyu ndiye Nahodha Mtanzania mwenye mafanikio makubwa zaidi Tanzania baada ya Mbwana Samatta.

Tubishane… 🙏🙏🙏🙏🙏🙌💚

🟩🟨⬛LIGI KUU IMESIMAMA kupisha michezo ya kirafiki ya FIFA, mataifa mbalimbali yatakuwa mzigoni kujipima nguvu. Ni wachez...
29/05/2026

🟩🟨⬛LIGI KUU IMESIMAMA kupisha michezo ya kirafiki ya FIFA, mataifa mbalimbali yatakuwa mzigoni kujipima nguvu. Ni wachezaji 7 pekee kutoka Young Africans ambao wameitwa kwenda kutumikia timu zao za Taifa.

🇲🇱Djigui Diarra
🇹🇿Bakary Mwamnyeto
🇹🇿Ibrahim Bacca
🇹🇿Mudathir Yahya
🇺🇬Allan Okello
🇦🇴Laurindo Depu
🇿🇼Prince Dube

Wananchi tuwaombee wapambanaji wetu wote walioitwa, waende salama na warudi salama kwa maana tuna michezo muhimu sana mbele yetu🙏


🟩🟨⬛NI KITAMBO SANA MCHEZAJI WETU PENDWA,  hajanyanyua kombe la Ligi Kuu. Analihitaji saaana na sisi wananchi tunahitaji ...
29/05/2026

🟩🟨⬛NI KITAMBO SANA MCHEZAJI WETU PENDWA, hajanyanyua kombe la Ligi Kuu. Analihitaji saaana na sisi wananchi tunahitaji mno kumuona akilibeba msimu huu.🔥🔥

Wananchi tuendelee kushikamana, tuwe kitu kimoja mpaka mwisho kabisa🤝


Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Yanga soccer school posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category