01/06/2026
-Azam Fc wameshikilia hatma ya makombe yote ya Yanga msimu huu...Simba wanamtazama Azam Fc k**a timu pekee itakayomzuia Yanga kwenye mbio za Ubingwa wa ligi na FA
Je, Azam Fc wanaweza kuibeba hiyo dhamana?
...