Mzalendo Media

  • Home
  • Mzalendo Media

Mzalendo Media Content Creator
Sports and Entertainment

“Sisi ni mabingwa wa CECAFA lakini hadi leo hatujapata pesa yetu ($30K  sawa na Tshs 78m) na tumefanya jitihada bila maf...
21/04/2026

“Sisi ni mabingwa wa CECAFA lakini hadi leo hatujapata pesa yetu ($30K sawa na Tshs 78m) na tumefanya jitihada bila mafanikio. Mwanzoni walikuwa wanatoa ushirikiano lakini kwasasa hawajibu chochote”

🎙️ Hussein Massanza - Afisa Habari wa Singida black Stars

“Ukombozi wa Mpira wetu upo kote kote ndugu zangu, Hata hii ya  kukomesha Tabia ya mtu kutoa tuhuma kwa Taasisi/Mtu bila...
21/04/2026

“Ukombozi wa Mpira wetu upo kote kote ndugu zangu, Hata hii ya kukomesha Tabia ya mtu kutoa tuhuma kwa Taasisi/Mtu bila ushahidi wa jambo husika ni jambo linaloweza kuulinda kabisa mpira wetu na mijadala ya kipuuzi.

Msichambue Ukombozi mmoja tu”

🖊️ Ally Kamwe

Championship 2025-26 🇹🇿🟩 1. Geita Gold - Pts 5️⃣5️⃣🟨 2. Kagera Sugar - Pts 5️⃣2️⃣🟦 3. Mbeya Kwanza - Pts 4️⃣8️⃣🟦 4. Poli...
21/04/2026

Championship 2025-26 🇹🇿

🟩 1. Geita Gold - Pts 5️⃣5️⃣
🟨 2. Kagera Sugar - Pts 5️⃣2️⃣
🟦 3. Mbeya Kwanza - Pts 4️⃣8️⃣
🟦 4. Polisi Tanzania - Pts 4️⃣5️⃣
5. Transit Camp - Pts 4️⃣3️⃣

🟩 Bingwa & Kupanda NBC PL
🟨 Kupanda NBC PL
🟦 Play off ya kupanda NBC PL

Bado mechi 8️⃣ kwa kila timu.

Wachambuzi wengi ni Deiwaka, hawana ajira, ofisini kwao wanaambiwa tumekupa platform nenda kajiongeze. Kuna wanajiongeza...
21/04/2026

Wachambuzi wengi ni Deiwaka, hawana ajira, ofisini kwao wanaambiwa tumekupa platform nenda kajiongeze. Kuna wanajiongeza kienyeji enyeji, wakiitwa mahakamani hawana hata uwezo wa kulipia gharama za kesi, huruma inaanza kutumika.
Niwakumbushe tu, hizi timu ni taasisi”

🎙️Massanza

Aliyekuwa msanii wa kundi la P Square   ametangaza kubadili tarehe ya siku yake ya kuzaliwa kutoka Novemba 18 ambayo ndi...
21/04/2026

Aliyekuwa msanii wa kundi la P Square ametangaza kubadili tarehe ya siku yake ya kuzaliwa kutoka Novemba 18 ambayo ndio siku amezaliwa na pacha wake hadi kuwa Tarehe 30 Novemba

Mr P ameeleza kuwa sio tu kubadilisha tu tarehe hata zawadi wala pongezi zozote zitakazokuja siku ya tarehe 18 hatazipokea kutoka kwa mtu yoyote yule.

Uamuzi huu unaaminika ni kutokana na ugomvi uliyopo kati yake na pacha wake ambao umedumu kwa muda mrefu sasa.

Unaamini kufanya uamuzi huu utabadilisha ukweli kuwa amezaliwa Tarehe 18 novemba?

*BREAKING NEWS:HAYA HAPA MATOKEO KIDATO CHA NNE 2022*  ☑️❤️ *SHARE NA MWENZAKO*▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬☑️Ni kwa mikoa yote☑️Dondoo za ...
29/01/2023

*BREAKING NEWS:HAYA HAPA MATOKEO KIDATO CHA NNE 2022*
☑️
❤️ *SHARE NA MWENZAKO*
▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬
☑️Ni kwa mikoa yote
☑️Dondoo za ufahuru
☑️Vigezo vya kuchaguliwa
▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬
*TAZAMA HAPA* 👇
https://bit.ly/3XNad4r
▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬
🚫 *WARNING: Hakuna malipo yoyote yanayohitajika katika ku-Apply fursa hii*

_Jiunge channel yetu ya Telegram kupata fursa hizi kila siku_
👇👇👇👇👇👇👇👇
https://t.me/jobwikis
*💓SHARE MAGROUP MENGINE*

matokeo ya kidato cha nne 2022,matokeo ya form four 2022/23, Form Four Results 2022/2023, NECTA matokeo kidato cha nne 2022/2023 pdf Tanzania, kidato cha nne 2022 pdf,matokeo kidato cha nne, matokeo ya kidato cha nne 2022 pdf,matokeo ya kidato cha nne 2022 tanzania bara,mtihani wa kidato cha nne,Mat...

Address

Ahmadadama440@gmail. Com

16111

Telephone

714041802

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mzalendo Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility?

Share