03/06/2025
KUHUSU WATU WAKIMYA na WAPOLE
1. Wanaweza kuongea na kuzungumza kwa uwazi hata ucheshi na wewe kwenye mitandao ya kijamii lakini katika maisha halisi ni barafu sio wasemaji
2. Wanaweza kuishi bila kutegemea nguzo ya mtu mwengine ( jeshi la mtu mmoja). Wanaweza kukaa ndani kwa wiki bila kujali
3.Wanahesabu matukio, mshik**ano, mguso mdogo wanakasirika upesi , werevu wamapenzi kwa yule wanayempenda. Wagumu kuingia kwenye penzi lakini mara wanapoangukia penzi wanapenda kweli hawatanii
4. Siwasaliti lakini rahisi kugundua usaliti , (wana wasiwasi). Wanaweza kusoma mawazo ya watu kabla hujasema, mara chache huwa na marafiki na washirika katika shughuli zozote, huwa hawafurahii kukaa mahali penye watu wengi na daima hupenda kukaa peke yao
5. Wao huzungumza kwa ugumu katikati ya watu lakini huzungumza kwa upole wanapokuwa na wapenzi wao.
Kwa kawaida watu huwaona k**a watu wanaojivuna sana lakini sivyo.
6. Wanaweza kuvumilia mengi lakini usiwapuuze au kuwachukulia kawaida kwa sababu wakishaamua, umewapoteza jumla huwa hawarudi nyuma
7. Wana hisia sana Hawasahau kwa urahisi mambo mabaya ambayo mtu aliwafanyia
8. Hawashiriki shida zao kwa mtu yeyote au kuomba msaada kwa watu bila kujali wanapitia nini
9. Huwezi kuangalia aina ya mtu kirahisi mpaka utakapokuwa karibu naye
Hazitabiriki
Je wewe ni wa aina gani???
Napitia Comment zenu 💬