05/06/2026
FURUSHI LA PESA KUMG'OA OLISE: Vita Mpya ya Madrid na Bayern
Real Madrid C.F. imeweka mezani mpunga mrefu, Euro milioni 150 Ili kumsajili winga tishio wa FC Bayern München
Rais wa Madrid amesema "piga ua lazima Mfaransa huyo atue kikosini"
Ikumbukwe Kuwa mwezi uliopita Rais wa Bayern alisema "Michael Hauzwi hata kwa Euro Milioni 200"
Hii ni Vita ya PESA na Heshima, Je Nani atashinda Vita hii?
Tuandikie kwenye Comment