Dogo Soka

Dogo Soka Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dogo Soka, Sports, Dar es Salaam.

Sports & Entertainments & Arts & Celebrities News
๐ŸŽ–๏ธHere is one of our biggest achieve............๐Ÿ‘‡
๐ŸŽ–๏ธ(Tanzania Sports Progress Foundation (TSPF)
๐ŸŽ–๏ธWe ensure the quality of informations 100 โœ…
๐ŸŽ–๏ธ DM anytime - we respond to ๐Ÿ“ฅ

Follow  DUBE DAY ๐Ÿ’›๐Ÿ’šKuelewa mchezo wa CAFCL kati ya YANGA SC vS AL HILAL. Benjamin Mkapa National Stadium, YANGA SC wamei...
22/11/2024

Follow

DUBE DAY ๐Ÿ’›๐Ÿ’š

Kuelewa mchezo wa CAFCL kati ya YANGA SC vS AL HILAL. Benjamin Mkapa National Stadium, YANGA SC wameiazimisha siku hiyo k**a ni siku ya mwana mfalme DUBE DAY wakisema kuwa wanaenda kufungua milango iliyofungwa.

Swali : Dube atafunga chuma ngapi kwa utabiri wako?

Follow  Kocha mkuu wa YANGA SC - MIGUEL GAMONDI ameanza maandalizi ya CAFCL kuelekea mchezo wake wa kwanza Makundi CAFCL...
11/11/2024

Follow

Kocha mkuu wa YANGA SC - MIGUEL GAMONDI ameanza maandalizi ya CAFCL kuelekea mchezo wake wa kwanza Makundi CAFCL dhidi ya AL-HILAL ya Sudan.

Follow  MX NZENGELI ๐Ÿ’›๐Ÿ’šKila la kheri wananchi katika mchezo wenu dhidi ya CBE.
12/09/2024

Follow

MX NZENGELI ๐Ÿ’›๐Ÿ’š

Kila la kheri wananchi katika mchezo wenu dhidi ya CBE.

Follow  YUSUF KAGOMA๐ŸฆRasmi mchezaji wa SIMBA SC KAGOMA ameruhusika kucheza katika klabu yake hio. Hivyo hakuna shauri la...
12/09/2024

Follow

YUSUF KAGOMA๐Ÿฆ

Rasmi mchezaji wa SIMBA SC KAGOMA ameruhusika kucheza katika klabu yake hio. Hivyo hakuna shauri la kufungiwa wala timu kukatwa points k**a ilivyodaiwa hapo awali. SIMBA SC tayari imeshaelekea nchini LIBYA kucheza mchezo wao wa CAF dhidi ya AL AHLY TRIPOLI.

Neno moja kwake YUSUF KAGOMA.

Follow  Msanii wa BongoFleva maarufu k**a ABIGAL CHAMS amepost picha tofauti katika ukurasa wake wa INSTAGRAM ukionesha ...
11/09/2024

Follow

Msanii wa BongoFleva maarufu k**a ABIGAL CHAMS amepost picha tofauti katika ukurasa wake wa INSTAGRAM ukionesha amevaa vazi jeusi ambalo nyuma ya vazi hilo limeandikwa neno "BIKRA". Mashabiki na wanahabari wengi wamekuwa wakijiuliza kuwa msanii huyo alikusudia nini ila bado kuna utata juu ya suala hilo.

Je wewe unahisi alikuwa na maana gani ABIGAL CHAMZ.

Usisahau kutufollow na kushare.

Follow  VIVA TAIFA STARS ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ”ฅ
10/09/2024

Follow

VIVA TAIFA STARS ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ”ฅ

Follow  Wewe k**a MTANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ una maoni gani? Ongelea mpira ushabiki wa SIMBA na YANGA tupa kule ๐ŸšฎMchezo wa leo TANZANI...
10/09/2024

Follow

Wewe k**a MTANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ una maoni gani?

Ongelea mpira ushabiki wa SIMBA na YANGA tupa kule ๐Ÿšฎ

Mchezo wa leo TANZANIA Vs GUINEA.

Follow  AWESU AWESU ๐ŸฆMiongoni mwa sajili bora kabisa zilizofanywa na SIMBA SC kwenye msimu wa 24/25 ni usajili huu wa AW...
03/09/2024

Follow

AWESU AWESU ๐Ÿฆ

Miongoni mwa sajili bora kabisa zilizofanywa na SIMBA SC kwenye msimu wa 24/25 ni usajili huu wa AWESU AWESU kutoka KMC. AWESU ameonesha kiwango kikubwa sana katika mechi chache kwani anauwezo wa kuchezesha timu, kupiga pasi sahihi maeneo sahihi na kufunga pia. Naiona SIMBA SC yenye mafanikio makubwa 24/25 ikitokea katika miguu yake.

Unabisha au unakubali k**a unabisha toa sababu... ๐Ÿ‘‡

Follow  CLEMENT MZIZE (24)MZIZE amekuwa katika kiwango kizuri sana kwa sasa na anawez kuwa bora zaidi baadae kwani katik...
03/09/2024

Follow

CLEMENT MZIZE (24)

MZIZE amekuwa katika kiwango kizuri sana kwa sasa na anawez kuwa bora zaidi baadae kwani katika michezo kadhaa waliyocheza YANGA SC MZIZE ameonesha uwezo mkubwa kwa kutoa pasi za mwisho yaani (ASSISTS) na kufunga mabao licha ya kuwa mara nyingi hutokea SUB. Klabu mbali mbali duniani k**a vile KAIZER CHIEFS na WYDAD mpaka sasa dau lililopo mezani ni (Tzs 1.0 B). Klabu kubwa (Wydad) imeshawishika kupeleka OFFER juu ya kumuhitaji CLEMENT MZIZE lakini bado YANGA SC wamesimamia msimamo wa kutomuuza nyota huyo mdogo na mwenye uwezo mkubwa uwanjani.

Je unamshauri nini MZIZE kutokana na offer hizi au uongozi wa YANGA SC kwa ujumla?

Follow  PRINCE DUBE (29)Aliyekuwa mchezaji wa AZAM FC kwa misimu kadhaa PRINCE DUBE ambaye kwa sasa amejiunga na klabu y...
27/08/2024

Follow

PRINCE DUBE (29)

Aliyekuwa mchezaji wa AZAM FC kwa misimu kadhaa PRINCE DUBE ambaye kwa sasa amejiunga na klabu ya YANGA SC. Ameeleza kuwa kwa sasa anaona muelekeo wa kutimiza ndoto zake za muda mrefu k**a mchezaji. Kwani kwa muda mfupi tu kujiunga na YANGA SC tayari ana medali (2) shingoni mwake na vikombe (2) ikiwemo NGAO YA JAMII ๐Ÿ†. Pia tayari YANGA SC ameanza safari yake ya kuelekea makundi CAFCL ๐Ÿ†

Endelea kufuatilia habari zetu ๐Ÿค??๐ŸŽฅ

Follow  SIMBA SC ๐ŸฆNguvu Moja ๐Ÿค๐ŸผKocha ana sifa zote za kubeba kombe la NBC ๐Ÿ†
27/08/2024

Follow

SIMBA SC ๐Ÿฆ

Nguvu Moja ๐Ÿค๐Ÿผ

Kocha ana sifa zote za kubeba kombe la NBC ๐Ÿ†

Follow  SOMA UKWELI HUU MWANANCHI ๐Ÿ’š๐Ÿ’›Kiungu mshambuliaji wa YANGA SC, CHAMA JR amekuwa akisemwa na kuzungumzwa na mashabi...
26/08/2024

Follow

SOMA UKWELI HUU MWANANCHI ๐Ÿ’š๐Ÿ’›

Kiungu mshambuliaji wa YANGA SC, CHAMA JR amekuwa akisemwa na kuzungumzwa na mashabiki na waandishi wengi kuwa umri umeenda. Ila kicha ya maneno yote hayo juzi katika mchezo wa VITAL'O na YANGA S CAFCL, YANGA SC alifunga goli 6 - 0. Wakati CHAMA akihusika na magoli 5 kwani aliweza kutoa ASSISTS 4 na kufunga GOAL 1. Hii ina maana kuwa CHAMA JR bado ana mchango mkubwa kwa timu kubwa k**a YANGA SC na yinginezo.

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255717456057

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dogo Soka posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dogo Soka:

Share

Category