26/08/2026
Kila siku tunapewa nafasi ya kuanza upya, Makosa ya jana hayapaswi kuwa sababu ya kukata tamaa, bali yawe somo la kutusaidia kubadilika.
Muhimu ni kutambua makosa, kujifunza kutokana nayo na kufanya juhudi kuwa mtu bora zaidi leo kuliko ulivyokuwa jana.
Babu Kijana 🇹🇿