DJUMA TV

DJUMA TV Ukurasa rasimi wa DJUMA TV karibu tupashane Habari Mbali Mbali | Kwa Matukio na Taarifa tupigie +255 684 692 584

29/08/2026
28/08/2026

Neno Moja kwa Kipenzi cha Mashabiki wa Simbasc

27/08/2026

Kwa Mahitaji ya Vifaa ya Stationary na kwenye Taasisi mbali mbali waone Viab Tech wanauza vifaa bora kutoka kampuni ya Canon

27/08/2026

HALMASHAURI KUU YA CCM YAMFUTA
UANACHAMA EMMANUEL NCHIMBI

Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi, iliyoketi leo tarehe 26 Agosti 2026 jijini Dar es Salaam, ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kauli moja imeazimia kumfuta uanachama Ndugu Emmanuel Nchimbi.

Vamuzi huo umefikiwa kutokana na makosa ya kinidhamu
yanayokiuka Katiba, Kanuni na Miongozo ya Chama cha Mapinduzi.

26/08/2026

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Jeshi la Wanamaji la Marekani limefanikiwa kuondoa au kulipua mabomu yote ya baharini yaliyokuwa katika maji ya kimataifa ya Mlango Bahari wa Hormuz.

Trump alitoa kauli hiyo kupitia mtandao wake wa Truth Social, akisema amepokea taarifa kutoka kwa Jeshi la Wanamaji kuhusu kukamilika kwa zoezi hilo...

🎙️: Abdulkadri Maingule

Always Follow Us Now DJUMA MEDIA TZ

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Telephone

+255684692584

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DJUMA TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share