nolly one

nolly one media personality || For Football

04/06/2026

Haya mambo ya uwanja mimi nilikuwa nishaanza kusahau mmeanza kunikumbusha , halafu uwanja si wa kwenye Laptop jamani kwanini huyu Dada autafutie hapo juani ? si angekuja ofisini tumpe aone

03/06/2026

Yani hii takataka ndo isajiliwe kwa Billion7๐Ÿ˜‚ nimekaa pale naagiza supu bila wasiwasi mana naona k**a watu mna masihara na pesa za wawekezaji๐Ÿคฃ๐Ÿ™Œ

02/06/2026

Kijubwa ninacho kataa mimi ni kuniambia awa utopolo wanafanya vitu kiprofessional zaid๐Ÿ˜‚

yani timu inasajili takataka kilasiku kwa mihemko ya viongozi na mashabiki na hawapati faida yoyot kupitia izo sajili wanazo zifanya na mwishoni wanaishia kuwatimua tuh. Alafu unasema wanafanya vitu kiprofessional brother k**a unatetea ujinga๐Ÿ™„๐Ÿ™„

01/06/2026

Kikosi kimerejea MO ARENA tayari kwa mazoezi wa awali

31/05/2026

๐Ÿ˜‚Shida ndipo inapoanziaga hapaa

Huyu mvhambuzi wenu wa utopolo bwana hasn likija swala la msingi na lenye ukweli ndani yake k**a lina wahusu upande wa pili huku anakaaga kimya kabisa hachangiii mada ya ebu mtuambie sasa huo uwanja wa AI uko wapi au kilasiku inakuwa kesho๐Ÿ˜๐Ÿ™Œ

๐ŸŽ‰ 10,000 FOLLOWERS! ๐ŸŽ‰Asanteni sana familia ya Simba kwa sapoti yenu kubwa. Kufikisha followers 10K si jambo dogo, ni mat...
30/05/2026

๐ŸŽ‰ 10,000 FOLLOWERS! ๐ŸŽ‰

Asanteni sana familia ya Simba kwa sapoti yenu kubwa. Kufikisha followers 10K si jambo dogo, ni matokeo ya upendo, ushirikiano na imani mnayoiweka kwenye page hii. ๐Ÿ’™โค๏ธ

Nitaendelea kuwaletea taarifa za uhakika, habari za usajili, matokeo ya mechi na kila kinachohusu Simba SC.

K**a bado hujanifollow, bonyeza Follow na uwashirikishe marafiki zako ili tuendelee kukua pamoja. Safari bado inaendelea kuelekea 20K! ๐Ÿš€

29/05/2026

Penalty ya ushindi iliyo wapeleka U-17 Final

Address

Dar Es Salaam
11101

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when nolly one posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share