Simba would updates

Simba would updates ukurasa huu upokwaajili ya kutoa taarifa za simba sc

โ€œSisi tunapenda ushirikiano na wanachama pamoja na mashabiki ndio maana hata kukosolewa tunapenda lakini lugha itumike y...
26/06/2023

โ€œSisi tunapenda ushirikiano na wanachama pamoja na mashabiki ndio maana hata kukosolewa tunapenda lakini lugha itumike ya staha kwakuwa isipokuwa hivyo huwa tunajisikia vibaya k**a binadamu,โ€™

MURTAZA MUNGUNGU, Mwenyekiti wa Klabu ya Simba.

Kesho yetu nzuri tunaijenga pamoja.Tuendelee kushirikiana tukiamini katika  ndio msingi wa mafanikio yetuโœŠ๐Ÿผ
26/06/2023

Kesho yetu nzuri tunaijenga pamoja.
Tuendelee kushirikiana tukiamini katika
ndio msingi wa mafanikio yetuโœŠ๐Ÿผ

๐Ÿšจ๐Ÿ’ฌ EXCLUSIVE: SIMBA SC NI TIMU YA MAISHA YANGU๐Ÿ—ฃ๏ธ "Simba naipenda hata K**a ntakuwa Timu nyingine Simba Nitimu ya maisha ...
26/06/2023

๐Ÿšจ๐Ÿ’ฌ EXCLUSIVE: SIMBA SC NI TIMU YA MAISHA YANGU

๐Ÿ—ฃ๏ธ "Simba naipenda hata K**a ntakuwa Timu nyingine Simba Nitimu ya maisha yangu IPO SIKU ntarudi Simba K**a mchezaji Ama kiongozi Ama shabiki ama Mwanachama" - Jonas Mkude

26/06/2023

Simba tunachukua kombe m simu ujao Nani anaunga mkono hili wazo comment apo ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

SIMBA BABA LAO CAF KWA MKWANJA๐ŸšจSimba aliishia Robo fainal ya kombe la club bingwa Afrika akazawadiwa kiasi Cha USD 650,0...
10/06/2023

SIMBA BABA LAO CAF KWA MKWANJA

๐ŸšจSimba aliishia Robo fainal ya kombe la club bingwa Afrika akazawadiwa kiasi Cha USD 650,000 sawa na TSH 1,524,250,000/- (bilioni moja milioni mia tano ishirini na nne na laki mbili na hamsini tu)

๐ŸšจYanga alimaliza nafasi ya Pili ya kombe la shirikisho barani Afrika akazawadiwa kiasi Cha USD 625,000 Sawa na Tsh.1,465,625,000(Bilioni moja milioni mianne sitini na tano na laki sita na ishirini na tano elfu tu

Kwa maana hiyo Simba SC kaizidi Yanga kiasi Cha USD 25,000/ Sawa na TSH.58,625,000/(milioni hamsini na nane laki sita na ishirini na tano elfu tu) hata wakiuza ๐Ÿ… zao zote hazitaweza kufikia kiasi hicho hivyo Simba SC kachukua (MPUNGA/MKWANJA,PESA) mkubwa mno

๐Ÿ… Wachezaji wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) mwe...
10/06/2023

๐Ÿ… Wachezaji wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) mwezi Mei, 2023;
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ Henock Inonga
๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ Saidi Ntibazonkiza
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Shomari Kapombe

Tembelea tovuti yetu ya simbasc.co.tz ili kupiga kura.

Unastahili hili ๐Ÿ‘Mfungaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC 2022/23, Saidi Ntibazonkiza.
10/06/2023

Unastahili hili ๐Ÿ‘

Mfungaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC 2022/23, Saidi Ntibazonkiza.

Mwamba huyu hapa
10/06/2023

Mwamba huyu hapa

03/02/2023
03/02/2023


๐Ÿ”ข Kikosi cha leo dhidi ya Singida Big Stars.๐Ÿ‘ฑ๐Ÿพโ€โ™‚๏ธ Inonga amerudi kikosini.
03/02/2023

๐Ÿ”ข Kikosi cha leo dhidi ya Singida Big Stars.

๐Ÿ‘ฑ๐Ÿพโ€โ™‚๏ธ Inonga amerudi kikosini.

Address

+255765104770
Dar Es Salaam
HTTPS://WWW.FACEBOOK.COM/100084527869219/POSTS/108462161981379/?FLITE=SCWSPNSS

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Simba would updates posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share