10/06/2023
SIMBA BABA LAO CAF KWA MKWANJA
๐จSimba aliishia Robo fainal ya kombe la club bingwa Afrika akazawadiwa kiasi Cha USD 650,000 sawa na TSH 1,524,250,000/- (bilioni moja milioni mia tano ishirini na nne na laki mbili na hamsini tu)
๐จYanga alimaliza nafasi ya Pili ya kombe la shirikisho barani Afrika akazawadiwa kiasi Cha USD 625,000 Sawa na Tsh.1,465,625,000(Bilioni moja milioni mianne sitini na tano na laki sita na ishirini na tano elfu tu
Kwa maana hiyo Simba SC kaizidi Yanga kiasi Cha USD 25,000/ Sawa na TSH.58,625,000/(milioni hamsini na nane laki sita na ishirini na tano elfu tu) hata wakiuza ๐
zao zote hazitaweza kufikia kiasi hicho hivyo Simba SC kachukua (MPUNGA/MKWANJA,PESA) mkubwa mno