10/08/2025
๐จ๐จ BREAKING: Mchana wa leo Yanga wamepokea ofa ya $1m (tsh 2,485,000,000) kutoka Espรฉrance Sportive de Tunis,ili kumpata Mzize.
De Tunis wanamtaka Mzize haraka sana,ila k**a watamkosa basi watagonga hodi Simba kuulizia huduma ya Dese Mukwala.
Chaguo namba moja ni Mzize na chaguo namba mbili ni Mukwala.
Follow Usajili na hansrafael14