30/04/2023
T O THE SEMI FINAL๐ช๐ช
Klabu ya yanga sc imetinga hatua ya nusu fainali ya kombe la shirikisho barani Afrika baada ya mchezo wao wa leo kumalizika kwa sare ya bila kufungana wakicheza na klabu ya Rivers United
Ongera Sana yanga sc kwa kuandika historia mpya ya kutinga hata hii ya nusu fainali kila la kheri yanga Afrika kwenye mechi zilizobakia