12/08/2026
🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: PAUL POGBA APATA JERAHA JIPYA! 😩⚠️
🇫🇷 Paul Pogba amepata jeraha jipya akiwa mazoezini na AS Monaco leo na alilazimika kuondoka uwanjani akiwa na maumivu.
🩺 Vipimo vya afya vinafanyika hivi karibuni ili kujua ukubwa wa tatizo.
❌ Wakati huo huo, AS Monaco inataka kuvunja mkataba wa Pogba.
❤️🩹 Pole sana, Paul!