29/08/2026
Mashabiki wengi wa soka Tanzania, hasa wananchi Yanga SC, wanadai kwanini nyota mwenye namba yake ya kipekee kabisa achezi Aziz Ki. Ukweli upo wazi juu ya nyota huyo baada ya taarifa kutoka ndani ya klabu kuwa Aziz Ki ni mchezaji maalumu kabisa kwa mechi chache ambazo wamepanga wao kocha mkuu MANQOBA.
Napenda wachezaji wenye kasi sana, pia napenda mchezaji mwenye ubunifu mkubwa sana ndio maana unaona Aziz Ki kuingia ni kazi kwa maana ana kiwango, lakini kasi ya mchezo wa mara kwa mara hawezi. Hivyo bado tunatafuta ni mechi gani anaweza kushiriki vizuri bila tatizo, na niliwambia kabisa kwamba lazima atacheza kwa kasi ninayoitaka mimi, kwa sababu k**a mchezaji ana ubora hawezi kukosa kasi ya mchezo. Kwa hiyo iwe isiwe, lazima atakuwa na kasi ninayoitaka mimi.
Pia Aziz Ki kwenye uwanja wa mazoezi anafanya vizuri sana. Hatutaki kumvuruga nyota wetu kwa mechi za chini, mechi za ugenini tutampa asilimia kubwa, kwani ndio mechi ambazo zina asilimia kubwa za kutoshinda, pamoja na hilo kuwa na kasi ya kawaida.