Score Shayo

Score Shayo ScoreShayo/Breaking News | Transfers | Results

Mwekezaji wa klabu ya Simba SC, Mo Dewji, ambaye ndiye k**a rais wa klabu, amesema machache baada ya mahojiano na Madam ...
04/09/2026

Mwekezaji wa klabu ya Simba SC, Mo Dewji, ambaye ndiye k**a rais wa klabu, amesema machache baada ya mahojiano na Madam Rita. Moja ya maneno yake alisema kwamba, “Klabu ya Simba SC bado muda tu niondoke. Kwanza niliomba klabu kwamba wanipe asilimia kadhaa ili klabu hii niweze kuitengeneza vizuri, lakini waliona k**a nahitaji pesa zao. Nilihitaji niwekeze pesa nyingi sana, lakini naona timu hii inaenda kuanguka kabisa na sitapata kitu.

Kuna vilabu vikubwa hapa Tanzania vimeanza kufanya vizuri, mfano mzuri ni Azam FC. Hii timu itakuja kuwa bora zaidi kuliko Simba SC. Nasema hivyo, namanisha kwanza wamejiweka sana, hakuna siasa kwenye mpira wao. Klabu yao haina ujanja ujanja, wanaenda k**a rula. Kwa hiyo k**a Simba SC inahitaji kupata mwenendo mzuri, waache siasa kabisa. Ndio maana nikasema kuna klabu zingine hapa zitakuja kuwa kubwa sana Tanzania na zitazidi hizi Yanga SC na Simba SC.

Barcelona, Real Madrid, Chelsea, Zamalek. Timu zote hizo zina wazamini wakubwa sana na pia wanafanya makubwa sana. Pia wanawekeza pesa nyingi mno. Kwa hiyo kuweka pesa nyingi ndio mwanzo wa mafanikio makubwa sana ndani ya klabu. Sasa kwa upande wangu mimi siwezi kuwekeza pesa nyingi sehemu ambayo haina mapato. Nimeisaidia timu ili kuweka ukubwa wa ligi. Nasema naipenda Simba SC tu, ila k**a ningekuwa sina lengo na timu, ningeiacha.

Naomba Wanasimba SC waache siasa kabisa kwenye timu yangu. Mimi nasema hivyo naumia sana kuliko wanavyozani. Na k**a nikisema niiachie klabu hii, basi inaweza kufanya vibaya zaidi. Ndio maana kila kitu nafanya ili kulinda jina la Simba SC pamoja na viongozi wa klabu, mashabiki pia. Nimetumia mabilioni ya pesa ili Simba SC ikuwe, pia nikaweka history kubwa kule kwa wenzetu Waarabu.” . . . .

03/09/2026

. . .

 – Kocha mkuu wa Timu ya Taifa DR Congo, Sébastien Desabre, ametoa orodha ya majina ya wachezaji wake watakaoshiriki mch...
03/09/2026

– Kocha mkuu wa Timu ya Taifa DR Congo, Sébastien Desabre, ametoa orodha ya majina ya wachezaji wake watakaoshiriki mchezo dhidi ya Namibia mwezi huu. Baadhi ya majina ya wachezaji hao limepatikana jina kiungo wa Simba SC, Loemba Inno, atahusika kwenye timu yake ya taifa. Kwa upande wa kocha Sébastien, atamtumia mchezaji huyo k**a mshambuliaji badala ya kiungo. Pale Simba anatumika k**a kiungo, pia anacheza nafasi ya mshambuliaji.

03/09/2026

— .Luis de la Fuente kocha mkuu wa timu ya taifa ya Hispania (Spain).ametoa dukuduku lake la moyo baada ya kuona nyota wake chipukizi. Lamine Yamal azingatiwi kulinga na ubora wake anaowaonyesha.vyanzo vya habari nchi Hispania . Vimedai kuwa kocha huyo ameneno machache kwa mchezaji wake. Akisema” kwamba "Wengi watasema hakufanya chochote kwenye Kombe la Dunia, lakini k**a uliangalia mashindano hayo, ungejua kwamba alikuwa mchezaji wetu muhimu zaidi. Ninaamini Lamine Yamal anastahili kushinda Ballon d’Or mwaka huu.” .

03/09/2026

😭

EXCL|| washambuliaji  Jonathan Sowah ambaye aliwai kuwa mmoja wa wachezaji wazuri pale simba SC amevunja ukimya baada ya...
03/09/2026

EXCL|| washambuliaji Jonathan Sowah ambaye aliwai kuwa mmoja wa wachezaji wazuri pale simba SC amevunja ukimya baada ya kuondoka ndani ya klabu.hiyo akisema kwamba Kabla ya kuondoka Simba nilicheza mechi nne nikafunga magoli matatu na walikuwa wanahangaika na washambuliaji wanaowaamini.Mimi nimebarikiwa kufunga, mimi ni goal poacher, sina wasi wasi na hilo. Siongei tu, najua ninachokisema" maneno hayo alisema akiwa na timu yake mpya Singinda BS.

Ikumbukwe mshambuliaji huyo aliwai kuwa gumzo mitandaoni baada ya kuvunja sheria za kambi pale simba.sababu ya kuondoka klabuni hapo ni pamoja na utovu wa nidhamu ndani ya benchi la ufundi pamoja na mengine.

  || klabu ya PSG imeanza mkakati wa kumpongeza nyota wake Khvicha Kvaratskhelia baada ya kuonyesha kiwango kikubwa zaid...
03/09/2026

|| klabu ya PSG imeanza mkakati wa kumpongeza nyota wake Khvicha Kvaratskhelia baada ya kuonyesha kiwango kikubwa zaidi ndani ya klabu hiyo. Khvicha. Anaitumikia PSG miaka 4. Peke.kwa taarifa kutoka vyanzo vya habari ulaya vinaeleza kuwa klabu hiyo baada ya kumaliza sakata la mshambuliaji wao Ousmane Dembélé kumpa mkataba mrefu zaidi.ila Kvaratskhelia atakuwa kipaumbele zaidi kumzawadia kwa kiwango chake na kumfanya kuwa sehemu muhimu ya mradi wa muda mrefu.. . .

UPDATE || kiungo Luke Le Roux.raia wa Afrika Kusini (South Africa). Mwenye umri wa miaka 26.Amevunja mkata na klabu yake...
03/09/2026

UPDATE || kiungo Luke Le Roux.raia wa Afrika Kusini (South Africa). Mwenye umri wa miaka 26.Amevunja mkata na klabu yake ya Portsmouth inayoshiriki Championship kwa makubaliano ya pande zote, baada ya kuafikiana Luke aliondoka klabuni hapo mara moja tu. Alindoka akichezea klabu yake mechi 17. baada ya kujiunga na klabu hiyo akitokea IFK Värnamo ya Sweden. Kwa upande wake amesema kuwa kuvunja mkataba huwo sio kwamba hapende kuitumikia Portsmouth ila ameondoka kwa namna ya kuanza kutafuta changamoto mpya.

Wachambuzi wa soka Tanzania wengi walijua kuwa nyota Nathaniel Chilambo, moja ya usajili pale Simba SC mbovu mno pindi t...
03/09/2026

Wachambuzi wa soka Tanzania wengi walijua kuwa nyota Nathaniel Chilambo, moja ya usajili pale Simba SC mbovu mno pindi tu alipoicheza mchezo wake wa kwanza dhidi ya Pamba Jiji. Alionekana kiwango kidogo. Lakini kwa sasa Nathaniel Chilambo amekuwa mmoja wa wachezaji bora zaidi, pia wengi wamempa sifa kulingana na uwezo wake kuwa juu zaidi. Ana uwezo (Talent), UFAHAMU WA KIFUNDI (Technical awareness) na UWEZO (Ability) alionao Nathaniel Chilambo. Bado sielewi kwa nini alikuwa anasugua benchi alipokuwa Azam FC.

Na wakaenda mbali wakisema kwamba huenda Chilambo atakuwa mmoja wa wachezaji watakaochaguliwa na mfumo wa Gamondi kwenda kuiwakilisha Taifa Stars kwa ajili ya AFCON 2027 mwakani. Upande wa juu zaidi tunaweza kusema ndiyo beki namba tatu k**a ukiweka top 3. Right Backs) kwenye Ligi Kuu.

Address

Bunda
31501

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Score Shayo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share