Babati Fitness CLUB

Babati Fitness CLUB Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Babati Fitness CLUB, Babati.

08/08/2019
Wachezaji wa BABATI FITNESS CLUB wakiwa katika matukio mbalimbali wakati wa Mtanange wao dhidi ya SINGIDA VETERANkatika ...
23/04/2019

Wachezaji wa BABATI FITNESS CLUB wakiwa katika matukio mbalimbali wakati wa Mtanange wao dhidi ya SINGIDA VETERAN

katika mechi hiyo Babati Fitness Club iliibuka mshindi wa goli 3-0 dhidi ya Singida Veteran, Mechi ilipigwa uwanja wa Kwaraa tarehe 22/04/2019 jumatatu ya pasaka

23/04/2019
Picha za mechi iliyopigwa kati ya Timu ya BABATI FITINESS CLUB na BABATI HOSPITAL SPORTS CLUB katika Viwanja vya Kwaraa ...
16/04/2019

Picha za mechi iliyopigwa kati ya Timu ya BABATI FITINESS CLUB na BABATI HOSPITAL SPORTS CLUB katika Viwanja vya Kwaraa mjini Babati BABATI FITINESS ilishinda kwa Goli 3 dhidi ya goli 2 za Babati Hospital Sports Club kwa bila (3-2)

BFC ilipotembelea wazee wa SELAME Magugu-Babati
05/01/2016

BFC ilipotembelea wazee wa SELAME Magugu-Babati

THE RETURN OF BABATI FITNESS CLUB,,,,,MORE 2 COME
17/06/2015

THE RETURN OF BABATI FITNESS CLUB,,,,,MORE 2 COME

THE RETURN OF,,,,,,
16/06/2015

THE RETURN OF,,,,,,

10/05/2015

hbd mzee mbise

02/02/2012

WADAU WA BABATI FITNESS SPORTS CLUB MNAJULISHWA KUWA SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 4 KUTAKUWA NA MECHI YA MPIRA WA MIGUU KATI YA TIMU YETU (BABATI FITNESS) DHIDI YA WENZETU WA GALAPO

MECHI ITACHEZWA KWENYE UWANJA WA GALAPO KUANZIA SAA 10 KAMILI JIONI.
WADAU WOTE TUKUTANE JUKWAA LA UWANJA WA KWARAA SAA 8.30 KWA AJILI YA KUANZA SAFARI KUELEKEA GALAPO

LENGO: - KUENDELEZA MICHEZO NA KUDUMISHA UNDUGU

“PAMOJA TUNAWEZA, MICHEZO KWA AFYA”

23/01/2012

MDAU WA BABATI FITNESS BRYAN MAGANGA AMEFIWA NA BIBI YAKE. ILIMLAZIMU KUSAFIRI KUELEKEA DAR SIKU YA JUMAMOSI MARA BAADA KUTOKA KWENYE MAZOEZI YA ASBH ALIPOPATA TAARIFA YA MSIBA HUO. TUPO PAMOJA JEMBE!!!!

14/01/2012

wadau nini wazo....... mnaonaje tukiwa na wimbo wa babati fitness? wimbo ambao tutakuwa tumauimba kila gemu linapotaka kuanza ili kuamsha morali ya wachezaji na mashabiki naombeni mawazo yenu

02/01/2012

MATOKEO YA FAINALI YA MASHINDANO YA MWAKA MPYA:

HOME BOYZ a.k.a "U-17" 3 - 2 BABATI FITNESS a.k.a. "Wazee wa Mujini"

ZAWADI ZILIKUWA K**A IFUATAVYO:
MSHINDI WA KWANZA: MIPIRA MITATU, FILIMBI, 100,000/= na CHETI
MSHINDI WA PILI: MIPIRA MIWILI, FILIMBI, 50,000/= na CHETI
MSHINDI WA TATU: MPIRA MMOJA, FILIMBI, 30,000/= na CHETI
MFUNGAJI BORA: ELISA LASWAI, 10,000/- na CHETI CHA UFUNGAJI BORA
GOLIKIPA BORA: HASSAN ABDALLAH, SETI YA JEZI YA GOLIKIPA NA CHETI
MCHEZAJI MWENYE UMRI MDOGO: NAJIM M***A, CHETI
TIMU YENYE NIDHAMU: MRARA FC; CHETI
KILA REFA ALIPATIWA CHETI CHA USHIRIKI.

WADAU WA SOKA TUMEHITAJIKA KWA OFISINI KWA KATIBU TAWALA MKOA WA MANYARA TAR. 06/01/2012 KUJADILI MIKAKATI YA KUIMARISHA SOKA. NI VIZURI TUWE NA STRATEGIES. NAOMBA HOJA!!!!

Address

Babati

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Babati Fitness CLUB posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share