12/02/2026
"Wachezaji wetu wanaendelea vizuri ukitoa Wilson Nangu ambaye taarifa ni kwamba mwishoni mwa wiki tutampeleka Afrika Kusini kwa ajili ya kwenda kufanyiwa upasuaji, ameumia kifundo cha mguu. Baada ya upasuaji tutakuwa kwenye nafasi nzuri ya kusema atakuwa nje kwa muda gani. Kwa upande wa Yakubu Suleiman maendeleo ni mazuri na muda wowote atarejea kikosini."- Semaji Ahmed Ally.