09/06/2026
Ligi inaelekea ukingoni sasa mambo yameshaanza kuchangamka tetesi zimekuwa nyingi sana mitandaoni huyu kaenda huku yule kahusihwa na timu ile,lakini pia Joto la kombe la Dunia linazidi kupanda sana. Wanangu wa Argentina 🇦🇷 na Hispania 🇪🇸 tujuane mapema kabisa.