Athman Dena

Athman Dena Confederation Of African Football Accredited Journalist. Register a Secret Bet Account here
https://slim.link/xj3lxjx
(4)

14/06/2026

KICK OFF
Bandari FC 0-0 KCB FC

Kumekucha, kumepambazuka! πŸ”₯Leo ndiyo ile siku ambayo barabara zote zinaelekea Kwale Stadium kwa fainali kubwa ya Mozzart...
14/06/2026

Kumekucha, kumepambazuka! πŸ”₯
Leo ndiyo ile siku ambayo barabara zote zinaelekea Kwale Stadium kwa fainali kubwa ya Mozzart Bet Cup kati ya Kenya Police FC na Tusker FC. πŸ†βš½

Fika uwanjani mapema ujipatie burudani ya kutosha kwani mbali na fainali hiyo, kutakuwa na michezo mingine mikubwa:

⚽ Bandari FC πŸ†š KCB FC
⚽ Kwale United πŸ†š Denmak FC
⚽ Kenya Police FC πŸ†š Tusker FC (Fainali)

Pia kutakuwa na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali k**a Prince Indah , SUSUMILA na Chikuzee kenya kuhakikisha mashabiki wanapata siku ya kukumbuka.

🎟️ Kiingilio ni BURE kabisa kwa sehemu za kawaida, huku tiketi za VIP zikiuzwa kwa KES 500 pekee.

TWENDE KWALE! πŸ”₯🏟️

Powered by Kwale Department Of Social Services & Talent Management

Hapo jana Bumbani Stars waliipa Zetech Titans alama za mezani (walkover) katika mechi yao ya mwisho ya msimu baada ya ku...
14/06/2026

Hapo jana Bumbani Stars waliipa Zetech Titans alama za mezani (walkover) katika mechi yao ya mwisho ya msimu baada ya kushindwa ku-provide ambulance uwanjani, k**a inavyotakiwa na kanuni za mashindano.

Hii inakuwa walkover ya pili kwa Bumbani Stars ndani ya msimu mmoja, jambo linalozua maswali mengi kuhusu hali ya klabu hiyo na changamoto zinazoiandama.

Je, ni matatizo ya kifedha, maandalizi duni ya usimamizi, au kuna jambo kubwa zaidi linaloendelea ndani ya klabu? Bumbani Stars imekuwa moja ya timu zenye historia nzuri katika soka la Pwani, lakini matukio haya yanaendelea kuathiri taswira yake.

Nini kimeikumba Bumbani Stars?

Powered by Kombani Homes Limited

Mabingwa wa Zone na sasa rasmi wamepanda daraja! πŸ†βš“Timu ya wanawake ya Kenya Navy,Marine Queens fc  imefanikiwa kupanda ...
14/06/2026

Mabingwa wa Zone na sasa rasmi wamepanda daraja! πŸ†βš“
Timu ya wanawake ya Kenya Navy,Marine Queens fc imefanikiwa kupanda hadi FKF Women National Super League (FKFWNSL) kwa msimu wa 2026/27 baada ya kutwaa ubingwa wa Zone B na kukabidhiwa kombe lao la ubingwa.

Kwa mafanikio hayo, Marine Queens FC sasa inakuwa timu ya tano kutoka Ukanda wa Pwani kushiriki FKFWNSL msimu ujao.

Timu za Pwani zitakazoshiriki FKFWNSL ni:

1️⃣ Bandari Queens (Mombasa)

2️⃣ Diani Queens (Kwale)

3️⃣ MTG United (Kilifi)

4️⃣ Hildana Queens (Mwatate, Taita Taveta)

5️⃣ Marine Queens FC (Mombasa)

Hongera Marine Queens FC kwa ubingwa na kupanda daraja. Tunawatakia mafanikio mema katika msimu wao wa kwanza wa FKFWNSL! πŸ‘βš½

Powered by Kombani Homes Limited

Huyu Ayyoub Bouaddi ametesa Sana hapo midfield,anastahili tuzo ya mchezaji bora wa mechi lakini watampatia Vini Jr kwa k...
14/06/2026

Huyu Ayyoub Bouaddi ametesa Sana hapo midfield,anastahili tuzo ya mchezaji bora wa mechi lakini watampatia Vini Jr kwa kuwapa alama moja Brazil.

14/06/2026

Binafsi nilijua Brazil kwa Morocco hatambi, Rasi Mangale na Omar Mazera ubashiri wangu mumeuonaπŸ˜‚

FT: Brazil 1-1 Morocco
14/06/2026

FT: Brazil 1-1 Morocco

13/06/2026

Ewe Mungu Baba hakikisha unatuepisha na Morocco AFCON 2027πŸ™
Waweke kundi moja na jiraniπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ˜‚

HT: Brazil 1-1 Morocco
13/06/2026

HT: Brazil 1-1 Morocco

31' Brazil 1-1 Morocco Vini Jr ⚽
13/06/2026

31' Brazil 1-1 Morocco
Vini Jr ⚽

Address

Mombasa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Athman Dena posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Athman Dena:

Share