Fabio de kaluz

Fabio de kaluz Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Fabio de kaluz, Malindi.

Kwa miaka mingi, wananchi wamekuwa wakilia kuhusu maendeleo, matumizi ya fedha za umma na uwajibikaji. Lakini swali lime...
31/08/2026

Kwa miaka mingi, wananchi wamekuwa wakilia kuhusu maendeleo, matumizi ya fedha za umma na uwajibikaji. Lakini swali limeendelea kubaki: Seneta wetu alikuwa wapi wakati mwananchi wa Kilifi alihitaji sauti yake? Oversight ilikuwa wapi?

Ni kweli, Seneta si wa kuleta misaada. Lakini yeye ndiye sauti ya wananchi, mlinzi wa ugatuzi na msimamizi wa Serikali ya Kaunti. Kazi yake ni kuhakikisha viongozi wanawajibika na kila shilingi ya mwananchi inalindwa.

Leo, baada ya Wakili Hon. George Kithi ,kuamka na Kilifi kuonyesha wazi kwamba inataka mageuzi, ghafla tunaona viongozi k**a senator Hon. Stewart Madzayo,EGH,MP. wakikimbia kutoka Nairobi kila weekend kuja Kilifi! πŸ”₯

Swali ni moja: Mlikuwa wapi miaka yote hiyo?

Kilifi ilipokuwa na changamoto, sauti zenu zilikuwa wapi? Wananchi walipokuwa wakilia kuhusu maendeleo, mlisimama upande gani?

Lakini sasa mambo yamebadilika. Wananchi wameamka! Hawataki tena viongozi wa kusubiri uchaguzi ukaribie ndipo waonekane.

Wanataka uwajibikaji. Maendeleo. Usimamizi wa fedha za umma. Na sauti ya kweli katika Seneti.

πŸŒͺ️πŸ”₯ UPEPO WA KILIFI UMEBADILIKA!

KILIFI IMEAMUA!

2027 tunataka Seneta mwenye uelewa wa sheria, uwezo wa kusimamia Serikali ya Kaunti na ujasiri wa kusimama bila woga kutetea mwananchi.

WAKILI Hon. George Kithi NDIYE CHAGUO LA MAGEUZI! ✊πŸ”₯

KITHI APEWE KITI β€” NA HADHI YA KILIFI ISONGE MBELE! πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ”₯


Akida Kilifi

Seneta wa Kilifi anahitaji kuwa sauti ya wananchi, mtetezi wa ugatuzi, msimamizi wa matumizi ya fedha za umma na mpigani...
31/08/2026

Seneta wa Kilifi anahitaji kuwa sauti ya wananchi, mtetezi wa ugatuzi, msimamizi wa matumizi ya fedha za umma na mpiganiaji wa rasilimali na sheria zinazowanufaisha watu wa Kilifi.

Hivyo basi, Kilifi inahitaji mtu mwenye uelewa wa sheria, uwezo wa kujenga hoja na ujasiri wa kutetea wananchi.

Ndiyo maana Kilifi imeamua β€” Wakili Hon. George Kithi ndiye Seneta mtarajiwa wa Kilifi 2027! πŸ”₯✊
Kithi APEWE Kiti! πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ”₯
Akida Kilifi

Happy Birthday to Me πŸŽ‚πŸŽ‰β€οΈToday, I celebrate another beautiful year of life. πŸ™β€οΈ I’m grateful to Almighty God for the gif...
20/08/2026

Happy Birthday to Me πŸŽ‚πŸŽ‰β€οΈ

Today, I celebrate another beautiful year of life. πŸ™β€οΈ I’m grateful to Almighty God for the gift of life, for the lessons, the blessings, the challenges that made me stronger, and for every person who has been part of my journey.

May this new chapter bring me good health, happiness, peace, wisdom, success, and abundant blessings. May God continue to guide my steps, protect me and my family, and make my dreams come true. πŸ™βœ¨

Here’s to more life, more growth, more blessings, and many more birthdays to come! πŸ₯³πŸŽ‚❀️

Happy Birthday to Me! πŸŽ‰β€οΈ

πŸŽ‚ Birthday Boy β€” Fabio de Kaluz β€οΈπŸ‘‘

The pride of London
31/05/2026

The pride of London

Chelsea
31/05/2026

Chelsea

With Pretty Barbie – I'm on a streak! I've been a top fan for 8 months in a row. πŸŽ‰
25/03/2026

With Pretty Barbie – I'm on a streak! I've been a top fan for 8 months in a row. πŸŽ‰

Kuchelewa haimaanishi hautafika.Ile siku inakuja na utaimba wimbo wa sifa.Tulia.Usikate tamaa kwa sababu ya maneno ya wa...
16/02/2026

Kuchelewa haimaanishi hautafika.
Ile siku inakuja na utaimba wimbo wa sifa.
Tulia.
Usikate tamaa kwa sababu ya maneno ya watu,maneno yalikuwepo hata kabla hujazaliwa,na bado yatakuwepo na utayaacha duniani.Believe in yourself, do what makes you happy usibabaike kufikiria watu watasema nini kukuhusu be yourself.
πŸ™πŸ™

Maumivu na matatizo yangu yamenifundisha kuwa mvumilivu,kuwa jasiri,na kuwa mpambanaji kwa maana kipindi kigumu ninachok...
13/02/2026

Maumivu na matatizo yangu yamenifundisha kuwa mvumilivu,kuwa jasiri,na kuwa mpambanaji kwa maana kipindi kigumu ninachokipitia sio mwisho wa maisha wakati sahihi ukifika nitapata kile ninachokistahili kwa uwezo wake mwenyezi Mungu Babaa

Address

Malindi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Fabio de kaluz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share