15/06/2026
Coach Swaleh kuongea maneno mazito na kuwapa moyo wachezaji.
π£"Wachezaji wangu, kuna watu wanaona dakika 90 tu za mchezo, lakini hawajui jasho, uchovu, maumivu na kujitolea mnakopitia kila siku.
Kila mmoja wenu ana sababu yake ya kupambana. Mnapovaa jezi ya EKA FC hampiganii alama pekee, mnapigania heshima yenu, familia zenu na jamii inayowaamini.
Tuingie kwenye mchezo ujao tukiwa na moyo mmoja, kwani hakuna kitu kinachoshinda timu iliyojaa imani na umoja. Ushindi unaanza akilini kabla haujaonekana uwanjani.
Next Wasini Unitedπͺ
π°πͺ