15/08/2026
▪️LIVERPOOL YASITISHA MAZUNGUMZO YA BARCOLA 💣
▪️Liverpool imesitisha kwa muda harakati zake za kumsajili Bradley Barcola baada ya kushindwa kufikia makubaliano na PSG kuhusu ada ya uhamisho....✍️
▪️Liverpool wanapanga kurejea kwenye mazungumzo katika siku 10 za mwisho za dirisha la usajili, wakitumaini PSG itapunguza bei yake kutokana na presha ya muda kuelekea mwisho wa dirisha....✍️
(Chanzo: L’Équipe)